Ufunuo wangu kuhusu tuzo ya Abdul Nondo

Ufunuo wangu kuhusu tuzo ya Abdul Nondo

KADA08

Member
Joined
Dec 2, 2017
Posts
44
Reaction score
153
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu
 
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu
USITAJE JINA LA BWANA MUNGU WAKO BURE

FUTAA KABISA HAYO MANENOO CHINI PLS UMHESHIMU MUNGU ALIEJUU
 
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu


Mkuu vipi kuna kesi mahakama ipi kuhusu hiki kifo?
 
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu
Shetani mkubwa Wee!!! Ushindwe na ulegee kama mlenda!!!!
 
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu
Unayoiita tuzo, wala si tuzobali ni ujumbe kwa watawala ambao wengine waliwaita ni washamba wa madaraka. Mimi nawaita waonezi na wasiotenda haki.
 
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu
Hahaha mabalozi wanateseka kwa maendeleo yetu mmh maendeleo yapi hayo? Ya mvua ikinyesha barabara hazipitiki?nk nk nk
 
Anaandika Joseph Kalala, Urbana University.

Kama haujapata kuuelewa ufunuo basi huu ndio ufunuo wa kweli kuhusu mambo haya yanayoendelea Tanzania;

1. Mabalozi kadhaa kutweet na kuretweet tukio la hivi karibuni la tuzo za haki za binadamu ni ufunuo kuwa mabeberu wanateseka wa maendeleo tunayoyapata tujipange;

2. Lakini pia kitendo cha mtu aliyefanya press conference moja au mbili (kati ya wengi) akidai haki ya mwanafunzi ambaye hakuna anayebisha kuwa aliuawa kikatili na bila sababu then kwa hatua hizo tu akakatangazwa kupewa tuzo ya Haki za Binadamu ni ufunuo mwingine kuwa ama waandaaji wameishiwa watu wanaopaswa kupata tuzo au majina ya wapewa tuzo yaliandaliwa ubalozini na wafadhili wa tuzo kwa malengo tata.

Shalom.

Mtumishi wa Mungu
Kwani nyie mmepata maendeleo gani huko kwenu labda utujuze na sisi tuyajue.?
 
maendeleo tunayoyapata......yepi?
Hiyaoni? Mvua ikinyesha unakutana na nyumba yako njiani kuogelea uhitaji kwenda baharini maji yanufuata nyumbani shule ndiyo kama hivyo wanafunzi 200 mwalimu mmoja ndani ya darasa moja hayo nayo ni maendeleo
Sisi wahenga tuliyosoma enzi za Nyerere darasa limejaa wanafunzi 45 hapo ndiyo limejaa sana
 
Wabongo ni Watu wenye akili za ajabu sana!
Hivi maendeleo gani tumepiga hadi hizo nchi zituonee Wivu?
 
Back
Top Bottom