Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango anafungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Agosti 11, 2025 Shule ya Polisi Tanzani- Moshi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, akiwasili katika ukumbi wa Shule ya Polisi Tanzania – Moshi, leo Agosti 11, 2025, kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi.
Babu amewasihi Maafisa wa Jeshi la Polisi kutumia fursa ya mkutano huo kujadili changamoto zinazolikabili Jeshi la Polisi na kuweka mikakati madhubuti ya kukabiliana nazo.
Aidha, amesisitiza kuwa yeyote anayefikiria kufanya uhalifu katika mkoa huo atafute pa kwenda.
Nurdin ameyasema hayo wakati akitoa salamu za Mkoa huo wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika Shule ya Polisi Tanzania - Moshi.