Ufukuapo makaburi, kumbuka wenzio walikusitiri...

Ufukuapo makaburi, kumbuka wenzio walikusitiri...

shinyangakwetu

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
2,487
Reaction score
2,395
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji124]
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
Unampigia mbuzi gitaa
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato

Huyu jibwana jibinafsi sana,haoni ni namna gani anavyokumbatia kabila lake na kuchukia wengine huku akijinasibu yeye anatumikia watanzania bila kujali chama.akili zake zote ziko kanda ziwa.unateua ukoo na wasukuma wenzio hata kama hawana sifa huku ukijifanya mzalendo eti hata kusema mniombee, utaombewa ila utaombewa kifo
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
Kesho tenA
 
Hizi ni povu zisizo na msingi, rais kafanya sana kazi, na amelipigania sana taifa kulitoa kwenye madudu. Jk alifanya wakati wake na alifanya alipoweza. Rais magifuli in kati ya watu wachapa kazi.
 
Kwahiyo ulitaka aweke jiwe la msingi kwenye mradi wa kifisadi hata kama naye aliiba?.Ni kitu gani kilichowafanya wakubwa zake enzi hizo wasimwajibishe?
 
Back
Top Bottom