Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato