Ufukuapo makaburi, kumbuka wenzio walikusitiri...

Ufukuapo makaburi, kumbuka wenzio walikusitiri...

Kwahiyo ulitaka aweke jiwe la msingi kwenye mradi wa kifisadi hata kama naye aliiba?.Ni kitu gani kilichowafanya wakubwa zake enzi hizo wasimwajibishe?
Utu na kuheshimu bila ubaguzi na pia walikuwa na akili timamu
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
Zilipotea bilion 252 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, Barbara ya Ubungo mpaka kkoo alikula Rushwa akaruhusu ijengwe nyembamba chini ya kiwango huku barabara nyingi za mikoani zikijengwa chini ya kiwango baada ya kupewa Rushwa, ununuzi ndege kwa cash, kukomboa ndege Canada kwa cash kala 10% kila upande, ujenzi wa chato Airport, ujenzi wa reli na miladi yote mkubwa kampuni zake na za Naibu Rais Maliyamungu Bashite ndizo pekee zinapewa tenda za ku-supply kila kitu na pesa zote kurudi kwao, Awamu hii ya tano kuna Ufisadi wa kutisha kuliko awamu zote tokea Nchi ipate Uhuru, miaka mitatu pekee wameshapiga Trillion 1.5 jiulize miaka 10 watapiga tshs ngapi?
 
Kwahiyo ulitaka aweke jiwe la msingi kwenye mradi wa kifisadi hata kama naye aliiba?.Ni kitu gani kilichowafanya wakubwa zake enzi hizo wasimwajibishe?
CCM wengi ni wezi Dili zote alizopiga alikula nao pamoja lakini sasa Dili nyingi anazopiga sasa anakula na wachache sasa hasa wa Hazina na BOT anapochukua pesa kienyeji mara nyingi kwa Msaada wa katibu mkuu ( mwanae) na Gavana wa Bank Rafiki yake , Dili kubwa kwake kwa sasa lipo wizara ya madini ambapo kaweka waziri anayeiga naye michongo ya madini yote waliyokamata Airport na mipakani, huku makinikia yakipelekwa nje kiimya kiimya, kwa kifupi Mtukufu Malaika toka chato na Naibu Rais Maliyamungu Bashite wanapiga Dili kwa kasi na mapema zaidi kuliko kikwete na mkapa ambao wao waliiba vipindi vya mwisho mwa Utawala wao.
 
Kila kaburi lina wakati wake wa kufukuliwa,hasa pale mchimbaji au mfukiaji anapokuwa kamaliza kazi yake na kujipumzisha. Na huu ndio muelekeo wa sasa duniani. Wakati utafika tu.
Makaburi mengine hayatakuwa na jipya sana kwa sababu kwavile uhuru wa maoni haukuminywa namna hii hapo kabla, basi kwa kiasi kikubwa, makaburi ya akina JK yanafahamika yana nini ndani yake!

Lakini makaburi ya huyu jamaa cku yakija kufukuliwa; harufu itakayokutwa humo itaweza kuangamiza hata viumbe vya majini na wale warukao!
 
Kwahiyo ulitaka aweke jiwe la msingi kwenye mradi wa kifisadi hata kama naye aliiba?.Ni kitu gani kilichowafanya wakubwa zake enzi hizo wasimwajibishe?
Wewe uko dunia gani??
1. Ameuza nyumba za serikali
2. Amekamata meli ya samaki na kuiacha ikaozea pale bandarini, serikali ikashindwa kesi ikalipa fidia ya bilioni nyingi
3. NIDA
4. E-Passport
5. MV dsm
6. Ununuzi wa ndege bila kufuata sheria za fedha na kukiuka katiba
7. n.k.
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato


Haya ndo mambo yaliyotufanya tuwe masikini na kubakia kuwa Binadamu masikini kuliko wote Dunia hii, kutwa nzima kuishi kusubiri wengine wapate shida ili mpate cha kusema, mtasubiri sana na Dunia inasonga mbele, kama ingekuwa hivyo basi Wazungu na Waarabu waliobaka, kutesa na kuuwa Mababu zetu wangeshalaanika, lkn ndo kwanza bado tunawaabudu na kutaka kukimbilia kwao.

Acha Majungu kama Nape na Zito Kabwe, piga kazi kuboresha maisha yako na familia yako, Raisi Magufuli ni Raisi wa Nchi vijidua vyako haviwezi kumpata, isitoshe Raisi Magufuli na Kikwete siajabu hata wanakutana jion na kunywa mvinyo, wewe takataka unapoteza muda humu eti unatoa laaana unasubiri afungwe Jela, WTF???
 
Nimetaja kwa uchache tu ila hakuna sehemu kuna madudu kama ujenzi(Tanroad) ndo maana hamgusi mfugale na hakuna audit pale bado e-passport,hasara ya meli ya samaki nk
Tatizo mnafikiria kwa kutumia makalio. Yaani badala ya kutetea watuhumiwa wote wachunguzwe akiwemo huyo unayemtishia Wewe unataka asichukue hatua eti kwa sababu kipindi akiwa Ujenzi alifanya madudu? Halafu nyie mnavimba humu mishipa kujidai mnatetea nchi kumbe mnanuka tu unafiki.
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
kabili hili msukuma kabalikiwa kuongoza ng'ombe tu sio watu.
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
Kwa hiyo unasapoti kufagilia takataka chini ya kapeti badala ya nje?? Waficha maovu nao ni waovu.
 
Kwahiyo amefanya vibaya? Tutetee maovu kwa kuwa sisi ni waovu sio?
 
Watetea wezi kazini tena. Hii nchi ina watu wa ovyo sana. Kukalia kuiba iba tu halafu mkidakwa mnalia lia

Nchi gani duniani ili shamiri kwa watu wake kuwa na maadili ya wizi hivi? Hata Rwanda ingekuwa na watu wanaojiibia isingekuwa kama ilivyo leo. Hao wazungu wameendelea kwa kutuibia sio kujiibia. Acheni miroho ya ajabu ajabu.

Wewe mleta mada ni mnufaika binafsi wa wizi uliokuwa unaivuruga nchi? Kutetea wizi ni laana

Magufuli fukua kila kitu. Na kila apatikanaye na hatia avae jezi tu, hamna namna. Halafu akija rais mwingine aje afukue naye na kila atakaye patikana na hatia avalishwe jezi tu. Huo ndo mpango mzima. Mpaka pale watu watakapojua hakuna msalia mtume na wezi.
 
Sizonje apigwe impearchment fasta kabla ajazua taharuki,wabunge JMT mpaka sasa awajui majukumu yao kama wawakilishi wa wananchi,tell him people lost trust & confidence to prevailing political circumstance
 
Tatizo tamaa. Ndo maana watu wanatetea mijizi. Mtu anafanya kazi kivivuvivu halafu anataka awe na maghorofa na magari ya kifahari na wake kumi kidogo. Lazima uibe. Magufuli kamata weka ndani hao

Profesa kashindwa kubuni mradi kaenda kuiba hela ya ujenzi wa jengo LA kusomeshea watoto wa masikini. Professor kashindwa kuandika andiko kwa donors apate mkwanja kwa shughul zake kaenda iba hela zilizo tengwa kusaidia watoto wa maskini.

Jamani hii aibu tusiendelee nayo

[HASHTAG]#saynotowizi[/HASHTAG]
 
Chonde chonde mtu afanye mambo yake ya ubaguzi lakini asiingilie umoja wetu. Mwalimu alifundisha kuwa watu wabaguzi iko siku moja watakula nyama za watu
Huyu jibwana jibinafsi sana,haoni ni namna gani anavyokumbatia kabila lake na kuchukia wengine huku akijinasibu yeye anatumikia watanzania bila kujali chama.akili zake zote ziko kanda ziwa.unateua ukoo na wasukuma wenzio hata kama hawana sifa huku ukijifanya mzalendo eti hata kusema mniombee, utaombewa ila utaombewa kifo
 
Back
Top Bottom