Haya ndo mambo yaliyotufanya tuwe masikini na kubakia kuwa Binadamu masikini kuliko wote Dunia hii, kutwa nzima kuishi kusubiri wengine wapate shida ili mpate cha kusema, mtasubiri sana na Dunia inasonga mbele, kama ingekuwa hivyo basi Wazungu na Waarabu waliobaka, kutesa na kuuwa Mababu zetu wangeshalaanika, lkn ndo kwanza bado tunawaabudu na kutaka kukimbilia kwao.
Acha Majungu kama Nape na Zito Kabwe, piga kazi kuboresha maisha yako na familia yako, Raisi Magufuli ni Raisi wa Nchi vijidua vyako haviwezi kumpata, isitoshe Raisi Magufuli na Kikwete siajabu hata wanakutana jion na kunywa mvinyo, wewe takataka unapoteza muda humu eti unatoa laaana unasubiri afungwe Jela, WTF???