Ufukuapo makaburi, kumbuka wenzio walikusitiri...

Ufukuapo makaburi, kumbuka wenzio walikusitiri...

Mojawapo ya matokeo mabaya kabisa ya wizi kwenye taasisi zetu na serikalini ni kuwa unapoiba wengine wanaona. Na ni wengi sana. Kuna wanaoona na kuna wengine watasikia mchoro mzima ya jinsi wizi ulivyo fanyika

Kwasababu wengine wanajua ulichofanya nao wata fanya kama ulivyo fanya. Wataiba kwa njia zile zile au kwa njia zilizo boreshwa. Wasipokamatwa na kuchukuliwa hatua wengine nao wataiga kuiba. Mwisho mnakuwa taifa la mijizi. Mnashindana kuiba. Mnakuwa kama Kongo kipindi cha mobutu. Mpaka hapo mtakuwa mmeshaua nchi. Maana wasio kwenye nafasi ya kuiba hawatakubali. Mnataka twende huko? . Nendeni peke yenu. Magufuli kamata hao na wavishe jezi
 
Mkishakuwa mijizi katika nchi hamuwezi kushindana wala kujifunza kutumia akili na maarifa na jitihada kuboresha maisha yenu. Kwanin uumize kichwa ulale saa saba usiku wakati profesa mushi kaiba na anapeta mtaani? Kwanin nisiibe kama mushi? Wacha wakamatwe aisee
 
Haya ndo mambo yaliyotufanya tuwe masikini na kubakia kuwa Binadamu masikini kuliko wote Dunia hii, kutwa nzima kuishi kusubiri wengine wapate shida ili mpate cha kusema, mtasubiri sana na Dunia inasonga mbele, kama ingekuwa hivyo basi Wazungu na Waarabu waliobaka, kutesa na kuuwa Mababu zetu wangeshalaanika, lkn ndo kwanza bado tunawaabudu na kutaka kukimbilia kwao.

Acha Majungu kama Nape na Zito Kabwe, piga kazi kuboresha maisha yako na familia yako, Raisi Magufuli ni Raisi wa Nchi vijidua vyako haviwezi kumpata, isitoshe Raisi Magufuli na Kikwete siajabu hata wanakutana jion na kunywa mvinyo, wewe takataka unapoteza muda humu eti unatoa laaana unasubiri afungwe Jela, WTF???
Naona poti umeumia sana ?
 
Wewe uko dunia gani??
1. Ameuza nyumba za serikali
2. Amekamata meli ya samaki na kuiacha ikaozea pale bandarini, serikali ikashindwa kesi ikalipa fidia ya bilioni nyingi
3. NIDA
4. E-Passport
5. MV dsm
6. Ununuzi wa ndege bila kufuata sheria za fedha na kukiuka katiba
7. n.k.
8. Amekataza Maandamano.
 
Magufuli ana mapungufu yake. Mfano kuna kanda binafsi nahisi anaibeba laivu laivu. Pili kutaka kuwekeza mabilioni ya watanzania kwenye hiyo stiegler gorge ili tupate umeme wakati mtangulizi wake aliisukuma nchi iwekeze mabilioni kwenye gesi kwa lengo hilo hilo la umeme. Sasa kwanin tuache gesi tuje kwenye maji? Umeme wa gesi hautotosha au? Ikoje ikoje hii. Maelezo ya kina yanatakiwa,

Lakini kwenye wezi acha awakamate.

Rais ajaye naye acha aje akamate wanao fisidi nchi kipindi hiki cha magufuli. Mwendo uwe ndo huu. Sasa watu mapovu yanawatoka ya nini?
 
Haya ndo mambo yaliyotufanya tuwe masikini na kubakia kuwa Binadamu masikini kuliko wote Dunia hii, kutwa nzima kuishi kusubiri wengine wapate shida ili mpate cha kusema, mtasubiri sana na Dunia inasonga mbele, kama ingekuwa hivyo basi Wazungu na Waarabu waliobaka, kutesa na kuuwa Mababu zetu wangeshalaanika, lkn ndo kwanza bado tunawaabudu na kutaka kukimbilia kwao.

Acha Majungu kama Nape na Zito Kabwe, piga kazi kuboresha maisha yako na familia yako, Raisi Magufuli ni Raisi wa Nchi vijidua vyako haviwezi kumpata, isitoshe Raisi Magufuli na Kikwete siajabu hata wanakutana jion na kunywa mvinyo, wewe takataka unapoteza muda humu eti unatoa laaana unasubiri afungwe Jela, WTF???

Si bora takataka kuliko wewe matapishi ya fisi alokula mzoga wa nyumbu
 
Inatakiwa iwe hivi : wezi wote waliokuwa wana chekewa au ambao hawaonwi kipindi cha Marais wa nyuma washughulikiwe kipindi hiki. Halafu wezi wote wanao chekewa au ambao hawaonwi kipindi hiki cha magufuli waje washughulikiwe kipindi cha awamu ijayo. Iendelee hivyo hivyo mpaka watu wataelewa hili somo.
 
Tatizo tamaa. Ndo maana watu wanatetea mijizi. Mtu anafanya kazi kivivuvivu halafu anataka awe na maghorofa na magari ya kifahari na wake kumi kidogo. Lazima uibe. Magufuli kamata weka ndani hao

Profesa kashindwa kubuni mradi kaenda kuiba hela ya ujenzi wa jengo LA kusomeshea watoto wa masikini. Professor kashindwa kuandika andiko kwa donors apate mkwanja kwa shughul zake kaenda iba hela zilizo tengwa kusaidia watoto wa maskini.

Jamani hii aibu tusiendelee nayo

[HASHTAG]#saynotowizi[/HASHTAG]

  • Jibuni hoja hizi:-
  • Nyumba za serikali na ujenzi wa nyumba mpya kwa bei kubwa.
  • Meli ya samaki fidia mabilioni.
  • Mv dar bei kubwa na mbovu.
  • 1.5 trilion
  • Ununuzi ndege kifisadi.
  • Ujenzi uwanja chato bila bunge kutenga pesa.
  • Ujenzi mabweni chuo yaliyokwisha pata kreki.
  • Barabara nyembamba kimara - kivukoni na kariakoo.
  • Ujenzi sub std barabara mwenge - tegeta.
  • Uvunjaji katiba ya nchi.
  • Teuzi za kifamilia,kikabila na kikanda



.
 
Watetea wezi kazini tena. Hii nchi ina watu wa ovyo sana. Kukalia kuiba iba tu halafu mkidakwa mnalia lia

Nchi gani duniani ili shamiri kwa watu wake kuwa na maadili ya wizi hivi? Hata Rwanda ingekuwa na watu wanaojiibia isingekuwa kama ilivyo leo. Hao wazungu wameendelea kwa kutuibia sio kujiibia. Acheni miroho ya ajabu ajabu.

Wewe mleta mada ni mnufaika binafsi wa wizi uliokuwa unaivuruga nchi? Kutetea wizi ni laana

Magufuli fukua kila kitu. Na kila apatikanaye na hatia avae jezi tu, hamna namna. Halafu akija rais mwingine aje afukue naye na kila atakaye patikana na hatia avalishwe jezi tu. Huo ndo mpango mzima. Mpaka pale watu watakapojua hakuna msalia mtume na wezi.

Afukue na ya kwake ili kuwe na balance
 
Haya ndo mambo yaliyotufanya tuwe masikini na kubakia kuwa Binadamu masikini kuliko wote Dunia hii, kutwa nzima kuishi kusubiri wengine wapate shida ili mpate cha kusema, mtasubiri sana na Dunia inasonga mbele, kama ingekuwa hivyo basi Wazungu na Waarabu waliobaka, kutesa na kuuwa Mababu zetu wangeshalaanika, lkn ndo kwanza bado tunawaabudu na kutaka kukimbilia kwao.

Acha Majungu kama Nape na Zito Kabwe, piga kazi kuboresha maisha yako na familia yako, Raisi Magufuli ni Raisi wa Nchi vijidua vyako haviwezi kumpata, isitoshe Raisi Magufuli na Kikwete siajabu hata wanakutana jion na kunywa mvinyo, wewe takataka unapoteza muda humu eti unatoa laaana unasubiri afungwe Jela, WTF???

Akili mgando katika ubora wako.
Hahahahaha hivi unajua sasa hivi watu wanakupuuza tu au hujui?
Tena angalia watu wasije kukuchukulia kama jiwe
 
Hizi ni povu zisizo na msingi, rais kafanya sana kazi, na amelipigania sana taifa kulitoa kwenye madudu. Jk alifanya wakati wake na alifanya alipoweza. Rais magifuli in kati ya watu wachapa kazi.
JK ni binadamu, anaweza kuwa alifanya makosa yake ,lakiini mema take yanazidi mabaya yake. Memya JK ni pamoja na kuongeza mshahara serikalini kwa asiimia 50%mara tu alipoingia madarakani.. Na baada ya hapo kila mwaka aliongeza kila mwaka na ngazi zilipanda kila baada ya miaka mitatu. Mfano , JK aliingia madarakani MTU akiwa gross salary ya 370,000/_.na ameondoka MTU huyo akiwa na gross salary ya 1,600,000/_,hivi kweli huyu awamu ya tano ataweza kufikia rekodi ya MTU kupanda kwa 400% mshahara.? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mumpe. Siyo MTU akitoka madarakani ndiyo asakamwe, kwanza ni kumuonea, hana jukwaa LA kujitetea. Yaani watu na akili zenu mnalishwa ahadi hewa huku mifukoni hamna kitu halafu mnaitikia kibwagizo kuwa tuko pazuri. Sio kweli. Mkuu arekebishe Sera ,ameambiwa alipe madeni ya ndani ili kustimulate uchumi usidorore . hapo ni maoni ya IMF na WB sio "wachochez"i wapinzani wanavyoitwa Siku hizi.. Lakini jamani hii nchi ni yetu sote hamna mwenye maslahi tukianguka kiuchumi, hivi kwa nini wengine muwe na monopoly ya kufikiri kwa niaba ya wengine? Hivi hamkumbuki hata darasani mllikuwa wa kawaida ,? Sasa hiyo akili ya kuzuka ghafla baada ya kupata madaraka mliipata wapi. Mfalme akikosea akubali kukosolewa vinginevyo tutajua hana nia njema. Yafaa tukumbuke kale kamsemo " you can fool some people for some time or all the people for some time,BUT you can not fool all the people all the time. Wale mliokabidhi wenzenj akili zenu wengine wafikiri kwa niaba yenu hongereni.Ila namba tunaisoma wote maana bei ya vitu Sokoni tunaumia wote .
 
Mojawapo ya matokeo mabaya kabisa ya wizi kwenye taasisi zetu na serikalini ni kuwa unapoiba wengine wanaona. Na ni wengi sana. Kuna wanaoona na kuna wengine watasikia mchoro mzima ya jinsi wizi ulivyo fanyika

Kwasababu wengine wanajua ulichofanya nao wata fanya kama ulivyo fanya. Wataiba kwa njia zile zile au kwa njia zilizo boreshwa. Wasipokamatwa na kuchukuliwa hatua wengine nao wataiga kuiba. Mwisho mnakuwa taifa la mijizi. Mnashindana kuiba. Mnakuwa kama Kongo kipindi cha mobutu. Mpaka hapo mtakuwa mmeshaua nchi. Maana wasio kwenye nafasi ya kuiba hawatakubali. Mnataka twende huko? . Nendeni peke yenu. Magufuli kamata hao na wavishe jezi

Mwambie avae yeye kwanza
 
Zilipotea bilion 252 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, Barbara ya Ubungo mpaka kkoo alikula Rushwa akaruhusu ijengwe nyembamba chini ya kiwango huku barabara nyingi za mikoani zikijengwa chini ya kiwango baada ya kupewa Rushwa, ununuzi ndege kwa cash, kukomboa ndege Canada kwa cash kala 10% kila upande, ujenzi wa chato Airport, ujenzi wa reli na miladi yote mkubwa kampuni zake na za Naibu Rais Maliyamungu Bashite ndizo pekee zinapewa tenda za ku-supply kila kitu na pesa zote kurudi kwao, Awamu hii ya tano kuna Ufisadi wa kutisha kuliko awamu zote tokea Nchi ipate Uhuru, miaka mitatu pekee wameshapiga Trillion 1.5 jiulize miaka 10 watapiga tshs ngapi?
Umefafanua vizuri mkuu.
Hapo kwenye 1.5T ni report ya 2016/2017 tu.Nilisoma mahali kuwa report ya 2015/2016 ilikua na 1.1T isiyo na maelezo hivyo kwa report za hii miaka miwili ni 2.6T.
 
Tatizo tamaa. Ndo maana watu wanatetea mijizi. Mtu anafanya kazi kivivuvivu halafu anataka awe na maghorofa na magari ya kifahari na wake kumi kidogo. Lazima uibe. Magufuli kamata weka ndani hao

Profesa kashindwa kubuni mradi kaenda kuiba hela ya ujenzi wa jengo LA kusomeshea watoto wa masikini. Professor kashindwa kuandika andiko kwa donors apate mkwanja kwa shughul zake kaenda iba hela zilizo tengwa kusaidia watoto wa maskini.

Jamani hii aibu tusiendelee nayo

[HASHTAG]#saynotowizi[/HASHTAG]

Wewe ni kilaza mbobezi, mbona aibu ya jiwe lako husemi? Shwain
 
Watetea wezi kazini tena. Hii nchi ina watu wa ovyo sana. Kukalia kuiba iba tu halafu mkidakwa mnalia lia

Nchi gani duniani ili shamiri kwa watu wake kuwa na maadili ya wizi hivi? Hata Rwanda ingekuwa na watu wanaojiibia isingekuwa kama ilivyo leo. Hao wazungu wameendelea kwa kutuibia sio kujiibia. Acheni miroho ya ajabu ajabu.

Wewe mleta mada ni mnufaika binafsi wa wizi uliokuwa unaivuruga nchi? Kutetea wizi ni laana

Magufuli fukua kila kitu. Na kila apatikanaye na hatia avae jezi tu, hamna namna. Halafu akija rais mwingine aje afukue naye na kila atakaye patikana na hatia avalishwe jezi tu. Huo ndo mpango mzima. Mpaka pale watu watakapojua hakuna msalia mtume na wezi.

Akili maji wewe, unampa mwizi kazi ya kukamata wezi?
 
Ha ha ha ha Muosha huoshwa ! yamekukuta yepi shingakwetu! ulokuwa ukishinda humu kumsema Dau vibaya! kila majina ulimwita ! firauni hili na lile! na kumsifia huyu huyu leo unamwita ana makaburi yalofukiwa! YEPI YAMEKUKUTA SHINYANGA KWETU na genge lako!!!
 
Mara Paaaap! nawewe tukikuita una wivu , husda na roho mbaya TUTAKOSEA! mwacheni magu afanye kazi zake! kila zama na kitabu chake! na kila uongozi na style zake mwacheni azindue zindue hata vilivokwishazinduliwa mradi anatimiza wajibu wake! acha husda roho mbaya na chuki! TOA BORITI JICHONI MWAKO KWANZA then ndio mgeukie magu
 
Wakati mkuu anaposema hataweka jiwe la msingi huko mkwawa eti kwa sababu umefanyika ufisadi, akumbuke kuwa JK angefanya kazi kwa staili hyo leo hii huyu angekuwa keko.madudu alofanya na kumezewa na wakubwa wwake ni mengi.Aliweza kuuza nyumba za umma huku akijinunulia hadi mahawara zake,Mv dsm imenunuliwa mbovu jk akamuacha tu.sasa yeye yote na mengine hayaoni anaona ya wenzake tu, hivi sasa kuna dili la NIDA kwa kuwa ni miongoni mwa wanufaika kawa mkimyaaa.
Acha wivu na roho ya husda watakuja kufukua mafuvu yako na kuyasimamisha kwa pilato
Kwa hiyo wewe ulitaka awaache wale fedha za walipa kodi? Kama alikosea, ni kwa nini JK hakumchukulia hatua? Ni kiasi gani cha fedha ambacho unakijua kuwa alikila halafu JK akamuacha tu? Msiwe mnaropoka mambo ambayo hata kuyatolea maelezo hamuwezi!!!!!
 
Back
Top Bottom