Wale ma sister do wanakwambia ' I'm not a strict Muslim any way'.Anasaidia kumfahamu muislam halisi na fake/mroho
Anasaidia kumfahamu muislam halisi na fake/mroho
Ile kiti moto ya Sabasaba Kwaminchi pale wewe acha. Kwahiyo hukumuoa mtoto mzuri?Sky Eclat umenena, nilishawah kula kitimoto na mtoto wa kiislam, maeneo ya sabasaba tanga huko, pale ndo inapikwa kwa wingi sana, akiamini hata akijizuia baadae atakula tu mana aliamini nitamuoa atabadilisha dini. Hahaaaa haya maisha hayaaa, tusamehewe tu.