Ufugaji wa Mbuzi, Kanga, Bata Mzinga na Kuku

pole kiongozi kwa changamoto hii kubwa! nina imani utavuka. Swali langu mbuzi wako ni wa aina gani? naweza kuja kuwaona?
Kaka karibu sana tufuge pamoja nimevuka salama hii changamoto ila kusema ukweli maumivu yake ni makubwa sana , karibu sana wakati wowote nipo kibamba kwa Mangi
 
Zoomastigina ,

..jiwe kwa ajili ya mbuzi kulamba.

1629660398571.png
 
Viongozi kwa sisi wa mjini..maeneo ya kufugia ni madogo mnatoa ushauri gani kwenye gharama za chakula Cha mbuzi..naomba maoni yenu wadau
 
wakuu nawashukuruni sana kwa michango yenu na kututia moyo sisi tunaotaka kuanza ufugaji..

mimi nataka kununua shamba nijenge mabanda kwaajili ya mbuzi mnanishauri nini!? zaidi nauliza hidroponic fodder na azolla zinawafaa hawa viumbe kwaajili ya kupunguza gharama ya chakula!?..

nawashukuru sana in advance..

wakaliwetu Manchid JokaKuu na wengineo..
Karibu sana ktk ufugaji huu, niseme ukweli sijawahi tumia Hidroponic wala Azolla ktk ufugaji wangu zaidi ni kununuwa majani yale yaliyo tengenezwa kwaajili ya mifugo Haye pale vikuge kongowe.
 
Karibu sana ktk ufugaji huu, niseme ukweli sijawahi tumia Hidroponic wala Azolla ktk ufugaji wangu zaidi ni kununuwa majani yale yaliyo tengenezwa kwaajili ya mifugo Haye pale vikuge kongowe.
ni sawa mkuu wangu, kuna sababu zozote nyuma ya hilo au ni maamuzi tu binafsi..
 
ndio nataka kuanza toka 0 mkuu nilikuja hapa kuomba ushauri kwanza..
Ok nafikiri ulisoma kurasa zilizo pita mpaka sasa kuna kitu ulipata, nikuombe kitu kimoja usisite kuuliza pindi unapo kwama ili uweze kufikia malengo yako ktk ufugaji, kumbuka kuchaguwa mbegu bora na kuchaguwa dume bora wakuzalisha shambani kwako, na ukumbuke ufwatiliaji wa chanjo kamili kwaajili ya kuepuka magonjwa ya mlipuko.
 
Ok nafikiri ulisoma kurasa zilizo pita mpaka sasa kuna kitu ulipata, nikuombe kitu kimoja usisite kuuliza pindi unapo kwama ili uweze kufikia malengo yako ktk ufugaji, kumbuka kuchaguwa mbegu bora na kuchaguwa dume bora wakuzalisha shambani kwako, na ukumbuke ufwatiliaji wa chanjo kamili kwaajili ya kuepuka magonjwa ya mlipuko.
saana mkuu jana nimelala saa 7 kisa huu uzi niko inspired sana tunaweza peana mawasiliano PM tukawasiliana kwa ukaribu..

shukran sana kwa moyo wako..
 
wakuu nawashukuruni sana kwa michango yenu na kututia moyo sisi tunaotaka kuanza ufugaji..

mimi nataka kununua shamba nijenge mabanda kwaajili ya mbuzi mnanishauri nini!? zaidi nauliza hidroponic fodder na azolla zinawafaa hawa viumbe kwaajili ya kupunguza gharama ya chakula!?..

nawashukuru sana in advance..

wakaliwetu Manchid JokaKuu na wengineo..

..kwa kweli sina uzoefu wa kutumia hydroponic fodder au azolla kama chakula cha mifugo.
 
Back
Top Bottom