Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Mwalimu Truth

Member
Feb 15, 2015
57
62
Habarini wafugaji,nimepitia nyuzi nyingi humu ndani. Ufugaji wa kuku,Bata na ng'ombe umezungumziwa kwa kiasi kikubwa sana, nyuzi hizo zimenisaidia katika mradi wangu wa ufugaji.

Kwa sasa nataka nipanue mradi wangu na kuongeza ufugaji wa mbuzi wa kienyeji, nitumie mbinu gani ili niweze kunufaika na ufugaji huo?

Kuna mfugaji mmoja kanishauri nianze na mbuzi kumi wenye uwezo wa kuzaa mapacha pamoja na dume moja kwahiyo mbuzi 11. Majike hayo kumi yakinizalia pacha awamu ya kwanza nitapata mbuzi wapya 20, wakinizalia awamu ya pili nitapata wengine wapya 20 na kutimiza 50 anasema mbinu hiyo ilifanya kazi kwa upande wake. Je, wewe mwenye uzoefu wa ufugaji wa mbuzi unanishauri nini?

Binafsi ufugaji wangu, natarajia kumtafuta Shamba Boy wa kuwachunga na kuwarudisha jioni kila siku.

Ahsante.
 
Mimi nakushauri utafute eneo kubwa sana la kuwafugia na pia kuwalishia humo humo bila kuwapeleka machungani

Hii inasaidia kukwepa maradhi mengi ya wafugaji wengine na pia ugomvi na wakulima

Kuhusu huyo kijana bora kuwa na mtaalam pia wa kuwaangalia kwa ukaribu

Huu mradi nitaufanya ila kwa upana zaidi Mungu akinipa uwezo na afya
 
Si mbuzi wote watakaoo zaa mapacha hivyo kwenda na record vizuri tumia ratio ya 1.5 au 3 kwa Mwaka.
Niseme tu hii ni dhahabu iliyojificha ambayo wanaofanya hawawezi kukuambia hata kidogo.

Huu ndio mradi nilioamua kuufanya serious kwa Mwaka huu na tayari nimeshaanza. Karibu kwenye team.

Ushauri: ili upate matokeo ya haraka nunua mbuzi wakubwa ambao wamesha zaa japo mara moja
 
Si mbuzi wote watakaoo zaa mapacha hivyo kwenda na record vizuri tumia ratio ya 1.5 au 3 kwa Mwaka.
Niseme tu hii ni dhahabu iliyojificha ambayo wanaofanya hawawezi kukuambia hata kidogo.

Huu ndio mradi nilioamua kuufanya serious kwa Mwaka huu na tayari nimeshaanza. Karibu kwenye team.

Ushauri: ili upate matokeo ya haraka nunua mbuzi wakubwa ambao wamesha zaa japo mara moja
Shukrani sana!
 
Nawasalimuni kwa jina la Mungu. naomba niwapongezeni sana nyote ktk kujenga mawazo ya kutaka kuingia ktk miradi kama hii ya ufugaji. Mimi ni mfugaji wa Mbuzi na nina fuga Mbuzi kwa muda mrefu, niwaombeni kitu ufugaji ni mzuri na una faida na changamoto zake, kikubwa ni kukubali kujifunza na kujijengea umakini ktk ukaguzi na usimamizi wa mifugo yako. Kwa aliyepo Dar namkaribisha kwangu aje tujifunze pamoja na tugawene ujuzi kwa pamoja. Kwa anae anaza kufuga nakuomba sana usinunuwe mbegu kwanza kabla hujapita kwetu wafugaji tulio kutangulia ujifunze vitu halafu ndio uingize Mbegu shambani kwako. Karibuni kwa maswali mbali mba;li nipo hapa tutasaidiana kwa kadiri Mungu atakavyo tujaalia.
 
Habarini wafugaji,nimepitia nyuzi nyingi humu ndani.Ufugaji wa kuku,Bata na ng'ombe umezungumziwa kwa kiasi kikubwa sana, nyuzi hizo zimenisaidia katika mradi wangu wa ufugaji.Kwa sasa nataka nipanue mradi wangu na kuongeza ufugaji wa mbuzi wa kienyeji,nitumie mbinu gani ili niweze kunufaika na ufugaji huo?

Kuna mfugaji mmoja kanishauri nianze na mbuzi kumi wenye uwezo wa kuzaa mapacha pamoja na dume moja kwahiyo mbuzi 11. Majike hayo kumi yakinizalia pacha awamu ya kwanza nitapata mbuzi wapya 20, wakinizalia awamu ya pili nitapata wengine wapya 20 na kutimiza 50 anasema mbinu hiyo ilifanya kazi kwa upande wake. Je, wewe mwenye uzoefu wa ufugaji wa mbuzi unanishauri nini?

Binafsi ufugaji wangu, natarajia kumtafuta Shamba Boy wa kuwachunga na kuwarudisha jioni kila siku.Ahsante.
Ushauri wangu jitahidi baba asipande mwanae yaani uchanganye damu usirudie uzao ukapanda uzao unaofuta utapata wanyama bora sana. Japo sio lazima ni wewe na uwezo wako
 
Mimi nakushauri utafute eneo kubwa sana la kuwafugia na pia kuwalishia humo humo bila kuwapeleka machungani

Hii inasaidia kukwepa maradhi mengi ya wafugaji wengine na pia ugomvi na wakulima

Kuhusu huyo kijana bora kuwa na mtaalam pia wa kuwaangalia kwa ukaribu

Huu mradi nitaufanya ila kwa upana zaidi Mungu akinipa uwezo na afya
Hapa linatakiwa eneo kubwa , alaf unaligawa hata vipande vinane vya ukubwa wa hekari mbili kila kimoja , unazungusha fensi nzito , supply ya maji iwe constant , ataishi kifalme Sana , na mbuzi atawakimbia , Ila hii ya kuwapeleka machungani na kurudi chenga tupu , mbuzi Wana visirani Sana kila mara mchungaji atakuwa anarudi amevunja mgongo mmoja

Goats-running-1125x750.jpg
 
Ushauri wangu jitahidi baba asipande mwanae yaani uchanganye damu usirudie uzao ukapanda uzao unaofuta utapata wanyama bora sana. Japo sio lazima ni wewe na uwezo wako
Hilo ni kweli ila nilirahisi sana kulizuia njia 2 tu moja kumtenga Dume mbili ni kumfunga kizibao tumboni asiweze kupanda. Nasisitiza tena tembelea wafugaji wenzako kwanza ili uweze kupata ABC za ufugaji Mbuzi na kujua njia ya kuzikabili changamoto na uchaguzi bora wa Mbegu utakazo zitaka kuzizalisha.
 
Habarini wafugaji,nimepitia nyuzi nyingi humu ndani.Ufugaji wa kuku,Bata na ng'ombe umezungumziwa kwa kiasi kikubwa sana, nyuzi hizo zimenisaidia katika mradi wangu wa ufugaji.Kwa sasa nataka nipanue mradi wangu na kuongeza ufugaji wa mbuzi wa kienyeji,nitumie mbinu gani ili niweze kunufaika na ufugaji huo?

Kuna mfugaji mmoja kanishauri nianze na mbuzi kumi wenye uwezo wa kuzaa mapacha pamoja na dume moja kwahiyo mbuzi 11. Majike hayo kumi yakinizalia pacha awamu ya kwanza nitapata mbuzi wapya 20, wakinizalia awamu ya pili nitapata wengine wapya 20 na kutimiza 50 anasema mbinu hiyo ilifanya kazi kwa upande wake. Je, wewe mwenye uzoefu wa ufugaji wa mbuzi unanishauri nini?

Binafsi ufugaji wangu, natarajia kumtafuta Shamba Boy wa kuwachunga na kuwarudisha jioni kila siku.Ahsante.
Mwalimu ; unapatikana wapi- Unaishi wapi hapa Tz.?
 
Hapa linatakiwa eneo kubwa , alaf unaligawa hata vipande vinane vya ukubwa wa hekari mbili kila kimoja , unazungusha fensi nzito , supply ya maji iwe constant , ataishi kifalme Sana , na mbuzi atawakimbia , Ila hii ya kuwapeleka machungani na kurudi chenga tupu , mbuzi Wana visirani Sana kila mara mchungaji atakuwa anarudi amevunja mgongo mmoja
mbuzi washenzi sana kwanza wakiona shamba utafikiri umewatuma
 
Nawasalimuni kwa jina la Mungu. naomba niwapongezeni sana nyote ktk kujenga mawazo ya kutaka kuingia ktk miradi kama hii ya ufugaji. Mimi ni mfugaji wa Mbuzi na nina fuga Mbuzi kwa muda mrefu, niwaombeni kitu ufugaji ni mzuri na una faida na changamoto zake, kikubwa ni kukubali kujifunza na kujijengea umakini ktk ukaguzi na usimamizi wa mifugo yako. Kwa aliyepo Dar namkaribisha kwangu aje tujifunze pamoja na tugawene ujuzi kwa pamoja. Kwa anae anaza kufuga nakuomba sana usinunuwe mbegu kwanza kabla hujapita kwetu wafugaji tulio kutangulia ujifunze vitu halafu ndio uingize Mbegu shambani kwako. Karibuni kwa maswali mbali mba;li nipo hapa tutasaidiana kwa kadiri Mungu atakavyo tujaalia.
Mkuu ukinielekeza nitafika, bado nipo kwenye hatua ya kujenga knowldge kabla ya kuanza mradi pia. Capital ipo lakini nipo devoted sana ndani ya mwaka huu at least mpaka mwezi wa saba niweze kujifunza vya kutosha.

Mimi nina asili ya ufugaji wa asili, ni vyema sasa nikajifunza ufugaji wa kibiashara.
 
Mkuu ukinielekeza nitafika, bado nipo kwenye hatua ya kujenga knowldge kabla ya kuanza mradi pia. Capital ipo lakini nipo devoted sana ndani ya mwaka huu at least mpaka mwezi wa saba niweze kujifunza vya kutosha.

Mimi nina asili ya ufugaji wa asili, ni vyema sasa nikajifunza ufugaji wa kibiashara.
Karibu sana
 
Mkuu ukinielekeza nitafika, bado nipo kwenye hatua ya kujenga knowldge kabla ya kuanza mradi pia. Capital ipo lakini nipo devoted sana ndani ya mwaka huu at least mpaka mwezi wa saba niweze kujifunza vya kutosha.

Mimi nina asili ya ufugaji wa asili, ni vyema sasa nikajifunza ufugaji wa kibiashara.
Nitakusaidia na nitakujulisha na wafugaji wengine na mtandao wa wafuga Mbuzi Tanzania.
 
Asante sana ,uko wapi mkuu.. Maana mm shamba liko tayari n mwezi huu napanda majani ya kuwalisha kama acres 4. Then nianze ujenzi kabla ya mwezi wa sita ntakua nimeanza. Naomba location na contacts zako inbox
Nawasalimuni kwa jina la Mungu. naomba niwapongezeni sana nyote ktk kujenga mawazo ya kutaka kuingia ktk miradi kama hii ya ufugaji. Mimi ni mfugaji wa Mbuzi na nina fuga Mbuzi kwa muda mrefu, niwaombeni kitu ufugaji ni mzuri na una faida na changamoto zake, kikubwa ni kukubali kujifunza na kujijengea umakini ktk ukaguzi na usimamizi wa mifugo yako. Kwa aliyepo Dar namkaribisha kwangu aje tujifunze pamoja na tugawene ujuzi kwa pamoja. Kwa anae anaza kufuga nakuomba sana usinunuwe mbegu kwanza kabla hujapita kwetu wafugaji tulio kutangulia ujifunze vitu halafu ndio uingize Mbegu shambani kwako. Karibuni kwa maswali mbali mba;li nipo hapa tutasaidiana kwa kadiri Mungu atakavyo tujaalia.
 
Hilo ni kweli ila nilirahisi sana kulizuia njia 2 tu moja kumtenga Dume mbili ni kumfunga kizibao tumboni asiweze kupanda. Nasisitiza tena tembelea wafugaji wenzako kwanza ili uweze kupata ABC za ufugaji Mbuzi na kujua njia ya kuzikabili changamoto na uchaguzi bora wa Mbegu utakazo zitaka kuzizalisha.

..nimeona jina lako ni " mubende ", je unafuga mbuzi aina ya mubende?
 
Hilo ni kweli ila nilirahisi sana kulizuia njia 2 tu moja kumtenga Dume mbili ni kumfunga kizibao tumboni asiweze kupanda. Nasisitiza tena tembelea wafugaji wenzako kwanza ili uweze kupata ABC za ufugaji Mbuzi na kujua njia ya kuzikabili changamoto na uchaguzi bora wa Mbegu utakazo zitaka kuzizalisha.
Tumia watu wa vets kupandisha wala usinunue dume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom