Umeshaanza ufugaji na ungependa kufuga nini? Ukiweka wazi hapa ufugaji unaoutaka kushiriki tutasaidiana ushauri maana humu wengi wamo wanao fuga mbali mbali.Sawa, mi ni mpenzi sana wa ufugaji
Kwa Singida hapo wewe ni Maskini tu bado!! Mkoani hapo kila mnyama anakubali hali ya hewa tena bure kabisa bila dawa ulipaswa kuwa mbali sana, Mie niko Itigi lkn sasa hivi niko nje ya nchi na safari yangu iligharimiwa na faida ya wanyama na mpaka leo wapo natumiwa pesa ya mazao kila baada ya miezi mitatu!Nipo Singida mkuu nakukaribisha sana
mkuu kweli nilikua huko napiga kaz hao mbuz wanapatikana sana na niwakubwa. nilionyeshwa mbuz ambae bado mdogo ananyonya nilishangaa jinsi alivyo na umbile kubwa. ila bei nayo imechangamka sana hapo longido
kweli mkuu lkn naogopa kutoa mawasiliano sbb mimi binafsi nimewafahamu hao jamaa kwa kipindi kifupi nilichokaa hapo longido so siwajui tabia zao kwa undani, watu wakizurumiwa humu ndani reference ni mimi kitu ambacho sipendi. Lkn kuna mmoja nahisi ni dereva serikalini ngoja ni hakikishe, huyu anauza hawa mbuzi anaweza kutusaidia sbb kumtrace kama akifanya utapeli ni rahisi na namba zake za simu ninazo...wasomaji wa mjadala huu wangependa kujua namna, na maeneo ya kuwapata mbuzi aina ya galla kutokea Longido.
..kwa hiyo kama unaweza tunaomba utuhabarishe zaidi, na ikiwezekana uweke contacts za wauzaji wa mbuzi galla walioko Longido.
kweli mkuu lkn naogopa kutoa mawasiliano sbb mimi binafsi nimewafahamu hao jamaa kwa kipindi kifupi nilichokaa hapo longido so siwajui tabia zao kwa undani, watu wakizurumiwa humu ndani reference ni mimi kitu ambacho sipendi. Lkn kuna mmoja nahisi ni dereva serikalini ngoja ni hakikishe, huyu anauza hawa mbuzi anaweza kutusaidia sbb kumtrace kama akifanya utapeli ni rahisi na namba zake za simu ninazo.
Nafugaga kuku, mbuzi nilijengaga banda wakati nashughulikia kuweka nikasafiri, ila nataka nijipange niwekeUmeshaanza ufugaji na ungependa kufuga nini? Ukiweka wazi hapa ufugaji unaoutaka kushiriki tutasaidiana ushauri maana humu wengi wamo wanao fuga mbali mbali.
Hongera sana Kuku kwakweli niliwaacha kabisaa hata Bata Mzinga niliwaacha nimebakia na Mbuzi na Mbwa na Bukini. Ninge kushauri uanze Mbuzi maana ufugaji wake naona ni mrahisi na unatija sana.Nafugaga kuku, mbuzi nilijengaga banda wakati nashughulikia kuweka nikasafiri, ila nataka nijipange niweke
Mbuzi wanalipa,mahitaji ya msingi ni uwepo wa miti mingi tuNafugaga kuku, mbuzi nilijengaga banda wakati nashughulikia kuweka nikasafiri, ila nataka nijipange niweke
Mkuu POLE sanaHabarini za leo ndugu zangu, nimepatwa na janga kidogo kwenye ufugaji wa Mbuzi nimepatwa na ugonjwa unaitwa Goat Pox, Mbuzi wanapata mafua makali sana na kuvimba vidonda mwili mzima mpaka mdomoni hivyo kupelekea Mnyama kushindwa kula kabisa, ulimi unabadilika kuwa wa bluu, na vidonda vingi. Kwa sasa nimeshapoteza wanyama 15 na wengine 7 bado hali zao sio nzuri. Kwa wafugaji hiki kipindi ni cha huu ugonjwa tuwe na taadhari. Mungu awabariki nyote.
Habarini za leo ndugu zangu, nimepatwa na janga kidogo kwenye ufugaji wa Mbuzi nimepatwa na ugonjwa unaitwa Goat Pox, Mbuzi wanapata mafua makali sana na kuvimba vidonda mwili mzima mpaka mdomoni hivyo kupelekea Mnyama kushindwa kula kabisa, ulimi unabadilika kuwa wa bluu, na vidonda vingi. Kwa sasa nimeshapoteza wanyama 15 na wengine 7 bado hali zao sio nzuri. Kwa wafugaji hiki kipindi ni cha huu ugonjwa tuwe na taadhari. Mungu awabariki nyote.
Habarini za leo ndugu zangu, nimepatwa na janga kidogo kwenye ufugaji wa Mbuzi nimepatwa na ugonjwa unaitwa Goat Pox, Mbuzi wanapata mafua makali sana na kuvimba vidonda mwili mzima mpaka mdomoni hivyo kupelekea Mnyama kushindwa kula kabisa, ulimi unabadilika kuwa wa bluu, na vidonda vingi. Kwa sasa nimeshapoteza wanyama 15 na wengine 7 bado hali zao sio nzuri. Kwa wafugaji hiki kipindi ni cha huu ugonjwa tuwe na taadhari. Mungu awabariki nyote.
Amina sana nawashukuruni sana nyote kwa kunipa moyo ktk hili, kuhusu chanjo ya huu ugonjwa hakuna ila kuna program ktk serekali za EA wako ktk utafiti wa chanjo ya huu ugonjwa, kwa sasa natumia PENSTREP,400 na VITAMIN na DEXAKEL0.2,
Na pia huwa nawaosha kwenye vidonda na maji ya dreep na aiodin ya vidonda. Tunapambana kuokoa uhai wa hawa wanyama mpaka nguvu yangu ya mwisho.
Nilikwenda kwa wale watafiti wa magonjwa ya wanyama pale Kibaha mailimoja kwakweli msaada wao ni mdogo sana na niwagharama kubwa sana nimeshindwa kuwaelewa kabisaa na nikitengo cha Serikali.
Walisema wanachukuwa Sampuli kwa MBUZI 1 kwa sh elf 10, na unalipia Vet mmoja kuja kwako elf 50 na wanataka waje vet 2, mimi nina Mbuzi 85 wao wanasema nilazima wachukuwe sampuli kwenye asilima 25 mpaka 30 kwa Mbuzi wote, hapo nikaona gharama ni kubwa sana nimebakia napamabana na matibabu na Vet wangu na hali inakwenda vyema pole pole.
Nawaombeeni siku njema na baraka za Mungu ziwe juu ya kazi zenu.
Karibu sana hili ni letu sote nipo kibamba kwa Mangi Dar.mkuu naweza kuja kujifunza kwa kuona? naomba huu msaada tafadhali
Karibu sana hili ni letu sote nipo kibamba kwa Mangi Dar.
Hamna neno karibu sana ndugu.Nashukuru sana nakutumia namba yangu inbox km hutojal