Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Mimi na mpango wa kuanza kufuga kuku ila nasikia kunadawa inauzwa kwenye maduka ya mifugo kuwa ukimpa kuku anataga sana kwa siku hata Mara mbili. mnaweza kuifahamu hiyo dawa inaitwaje na je ni nzuri kumpa kuku na haileti madhara kwenye mayai?
 
Mimi na mpango wa kuanza kufuga kuku ila nasikia kunadawa inauzwa kwenye maduka ya mifugo kuwa ukimpa kuku anataga sana kwa siku hata Mara mbili. mnaweza kuifahamu hiyo dawa inaitwaje na je ni nzuri kumpa kuku na haileti madhara kwenye mayai?
Hufai kuwa mfugaji..mana unaonekana unataka faida ya haraka sana utatuharibia tasnia. Kuku kawaida yake ni kutaga mara moja kwa siku. Kama unaona yai moja halikulipi achana na hii kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilianza ufugaji, nikaingiza Kuroiler 300.. Kuna changamoto Sana, Waliugua wakafa kama 200 hivi.. Inauma sana sema ndio changa moto zenyewe.. waliobaki kama 97 wanaendelea vizuri mwezi wa nne huu! sijakata tamaa, kwa sasa nina mpango wa kununua wa mwezi mmoja au zaidi wakati naendelea kujifunza
 
Nilianza ufugaji, nikaingiza Kuroiler 300.. Kuna changamoto Sana, Waliugua wakafa kama 200 hivi.. Inauma sana sema ndio changa moto zenyewe.. waliobaki kama 97 wanaendelea vizuri mwezi wa nne huu! sijakata tamaa, kwa sasa nina mpango wa kununua wa mwezi mmoja au zaidi wakati naendelea kujifunza
Usikate tamaa,angalia ulikosea wapi urekebishe... mimi najifunza,naanza soon
 
Nilianza ufugaji, nikaingiza Kuroiler 300.. Kuna changamoto Sana, Waliugua wakafa kama 200 hivi.. Inauma sana sema ndio changa moto zenyewe.. waliobaki kama 97 wanaendelea vizuri mwezi wa nne huu! sijakata tamaa, kwa sasa nina mpango wa kununua wa mwezi mmoja au zaidi wakati naendelea kujifunza
Usikate tamaa mkuu, mwenyewe nilipeleka mayai 60 ya kienyeji pure kutotolesha vikatoka vifaranga 45, msala ukaja kuvilea vikaanza kuumwa vinatoka kama vidonda(damu) sehemu ya haja, karibu kila siku naokota kimoja walinambia nitumie esb3 lakini hola, vina wiki mbili saizi lakini vimeshakufa sita tayari, sijui kesho nitaokota vingapi
 
Mkuu.... nina plan ya kufuga kuku wa kienyeji kati ya 1000-1500. Katika eneo mooja...


Msaaada juu ya uandaaji wa eneo kwa kuku wengi.
Aina nzur ya ufugaji na utunzaji.
Chakula sahihi.
Ukubwa wa eneo.
Njia nzuri za kuwaongeza kuzaliana.
Mbegu nzuri.
Mabanda.
Tiba na lishe.
Chanjo.


Na kuku gani wanafaa kwa kuanzia... idadi yao na aina ya kuku.


Na biashara yoote kwa ujumla... mpaka niweze kuuza kuku 10 wakubwa kwa kila siku + vifaranga 10 kwa kila siku... kwa muda wa mwaka mfululizo bila kuishiwa mifugo.

Msaaaada tafadhari.

Eneo lipo la kutosha... sio karibu saaaana na makazi ya watu.
Capital pia ipo.
Maji yapo.
Hali ya hewa ni ubaridi.


Sent from "La -Vista"
 
Habari zenu wanajamiiforum mm nihitaji ushauri kua jinsi gani ninaweza kupata mayai ya kuku wa kisasa nikayatotolesha mwenyewe kwa kutumia incubator na sio kununua hapana kuku ninao ila nyia sasa ya kuyapata ayo mayai then nikayatotolesha katika iyo machine tafazali nawaombeni msaada wenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom