Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Mkuu,mimi nina interest kubwa sana ya kufanya rabbit raising for meat.... na nimeshafuga sungura at a small scale..., niliwahi kufuatilia sana project ya sungura na nikapewa guidelines na FAO kuhusu funding programs under Tele food na wakanitumia vitabu viwili vinavyohusu rabbit raising ...tele food funding inaweza kutoa funds kama mtaweza ku form a gorup abayo itaweza kutoa fursa ya kukuza ufugaji wa sungura at the sme time kuzalisha sungura wa nyama kama mbadala wa chakula katika jamii

Nashauri tuwasiliane tuone tunaweza vipi tukaanzisha umoja wa ufugaji wa sungura na kushawishi umma kuhusu nyama ya sungura ili tupate soko kutoka kwa wananchi.
 
Wakuu naomba mwenye kujua jinsi ya kuwafuga hawa viumbe anipe info japo kidogo
 
Moja kati ya delicate animals, wanahitaji mazingira yasiyowapa stress ili wakue vyema mfano chakula, maji pamoja na sehemu ya kuishi

CHAKULA:
Kama unataka ukuaji mzuri ni vyema kuzingatia fomula nzuri ya chakula, pia kuwapatia majani kwa wingi ambayo ni msaada sana kwenye kupata vitamins, na formula ya chakula nitakuwekea baadae ukihitaji.

MAJI
Maji pia ni muhimu kuwabadilishia kila siku maana yakiingia mkojo wao hata kidogo hunuka sana hivyo huwafanya kutokunywa, pia waweza wachanganyia industrial vitamins na minerals kwenye maji pamoja na antibiotics kwa ajili ya afya zao.

BANDA
Hapa ndio huwa kuna changamoto kwa sababu kama banda lisipokuwa vizuri basi utapoteza watoto wengi. Na watapotea kipindi cha kuzaliwa na kwenye ukuuaji, kama wakizaliwa alafu banda halipo vizuri basi wanaweza kufa kwa baridi, kukanyagwa au kuumwa na vidudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sungura unataka kufuga kibiashara au matumizi ya nyama binafsi,Kama Ni kibiashara futa ayo mawazo utapata hasara si mchezo ila Kama Ni kwa nyama sawa,kiufupi sungura huzaliana kwa haraka Sana na mimba yake huchukua siku30 na kuzaa.

Sungura uko joto kila muda yani unaweza mpandisha kwa dume akazaa bada ya siku7 ukamuweka Tena na akashuka mimba huku ananyonyesha na kuzaa Tena kikubwa chakula kiwe Cha kutosha,kwenye chakula tumia pumba yamahindi nakuchanganya na chakula Cha broiler mash na weka chumvi kidogo 1:4,wape maji safi,majani mabichi na makavu.

Safisha banda kila siku,hakikisha lina uwazi wa wavu ili hewa iwe yakutosha, breed nzuri ni new Zealand white,hawa uwa weupe na macho ya pink Ni wakubwa na wananyama yakutosha,sungura anahitaji usafi Kama alivyo kuku one mistake one goal.dawa za minyo tumia peperazine kwa kuweka kwenye maji au chakula.NAKARIBISHA SWALI LOLOTE
 
Sungura unataka kufuga kibiashara au matumizi ya nyama binafsi,Kama Ni kibiashara futa ayo mawazo utapata hasara si mchezo ila Kama Ni kwa nyama sawa,kiufupi sungura huzaliana kwa haraka Sana na mimba yake huchukua siku30 na kuzaa ,sungura uko joto kila muda yani unaweza mpandisha kwa dume akazaa bada ya siku7 ukamuweka Tena na akashuka mimba huku ananyonyesha na kuzaa Tena kikubwa chakula kiwe Cha kutosha,kwenye chakula tumia pumba yamahindi nakuchanganya na chakula Cha broiler mash na weka chumvi kidogo 1:4,wape maji safi,majani mabichi na makavu,safisha banda kila siku,hakikisha lina uwazi wa wavu ili hewa iwe yakutosha, breed nzuri ni new Zealand white,hawa uwa weupe na macho ya pink Ni wakubwa na wananyama yakutosha,sungura anahitaji usafi Kama alivyo kuku one mistake one goal.dawa za minyo tumia peperazine kwa kuweka kwenye maji au chakula.NAKARIBISHA SWALI LOLOTE
Hao Newzealand white ww mbegu unayo??

Wapi wanapatikana km hauna?

Bei wanauzaje au unauzaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya delicate animals, wanahitaji mazingira yasiyowapa stress ili wakue vyema mfano chakula, maji pamoja na sehemu ya kuishi
CHAKULA:
Kama unataka ukuaji mzuri ni vyema kuzingatia fomula nzuri ya chakula, pia kuwapatia majani kwa wingi ambayo ni msaada sana kwenye kupata vitamins, na formula ya chakula nitakuwekea baadae ukihitaji.
MAJI
Maji pia ni muhimu kuwabadilishia kila siku maana yakiingia mkojo wao hata kidogo hunuka sana hivyo huwafanya kutokunywa, pia waweza wachanganyia industrial vitamins na minerals kwenye maji pamoja na antibiotics kwa ajili ya afya zao.
BANDA
Hapa ndio huwa kuna changamoto kwa sababu kama banda lisipokuwa vizuri basi utapoteza watoto wengi. Na watapotea kipindi cha kuzaliwa na kwenye ukuuaji, kama wakizaliwa alafu banda halipo vizuri basi wanaweza kufa kwa baridi, kukanyagwa au kuumwa na vidudu

Sent using Jamii Forums mobile app

Una uhakika sungura anakunywa maji?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu naomba mwenye kujua jinsi ya kuwafuga hawa viumbe anipe info japo kidogo

IMG_5731.JPG
 
Hapo kwenye maji Sina uhakika lakini, Ila sungura wangu sijawahi kuwapa maji hata tone. Ni majani na pumba tu na wanakua vizuri
 
Hapo kwenye maji Sina uhakika lakini, Ila sungura wangu sijawahi kuwapa maji hata tone. Ni majani na pumba tu na wanakua vizuri
Sawa Mkuu,
Lakini sungura ni kiumbe hai kama viumbe hai wengine hivyo maji ni muhimu katika mwili wake, ukiona sungura hanywi maji basi ujue aidha hunywa sehemu nyingine kama huwa wanatembea mfano anaweza kunywa maji ambayo umeweka kwa ajili ya wanyama wengine, au vyakula unavyompatia vinakiwango kikubwa cha maji ndio maana unahisi hawanywi. Ila kwa uzoefu wa sungura ninaofuga na kwa nadharia za shuleni sungura wanakunywa maji na ni ya muhimu sana kwao.
 
Sawa Mkuu,
Lakini sungura ni kiumbe hai kama viumbe hai wengine hivyo maji ni muhimu katika mwili wake, ukiona sungura hanywi maji basi ujue aidha hunywa sehemu nyingine kama huwa wanatembea mfano anaweza kunywa maji ambayo umeweka kwa ajili ya wanyama wengine, au vyakula unavyompatia vinakiwango kikubwa cha maji ndio maana unahisi hawanywi. Ila kwa uzoefu wa sungura ninaofuga na kwa nadharia za shuleni sungura wanakunywa maji na ni ya muhimu sana kwao.
Sawasawa mkuu nahisi ni kwa sababu wanakula sana majani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom