sawa mkuu shida iliyopo nani ananunua huo mkojo..? au utawauzia google..? maana wakulima dawa zao wanazijua sjawahi kusikia kuna mkulima anapiga mkojo wa sungura anaacha hay madawa mengineIngiia google uione jinsi mabanda yao yalivo na jinsi ya kuvuna mkojo wa sugura,lita moja inauzwa elf 5 Lita moja ya mkojo Kwa Lita 5 ya MAJI unamwagia mmea
umeongea vyema sana nami niko hivyoKwa mimi binafsi jinsi nilivyo ni kwamba kila mfugo unaowezekana kufuga mimi huwa nafuga huwa sisubiri kusikiliza kwa mtu kwa upande wa sungura huwa nawapenda kwasababu ufugaji wake ni rahisi sana na hauna gharama,ni kuwatengenezea banda zuri harafu unanunua mbegu hapo unaweza anza na wawili tu dume na jike na baada ya hapo utapata sungura wengi sana baada ya muda mufupi hadi utashangaa.
Chakula chake hununui unang'oa majani unawawekea ni bure kabisa na mabaki ya vyakula wao wanagonga kwa wale wenye mashamba na bustani yale majani ya kupalilia unayakusanya unawawekea wanagonga vizuri ambayo wewe ungeyatupa.
Hawaumwi kizembe na wala huwezi poteza gharama kununua dawa.
Sasa ninamaana mtu unaweza kuwafuga kwa mapenzi yako kwasababu hawana gharama ikitokea mtu anawahitaji unaweza muuzia (hapa huwa wanajitokeza sana kununua wakisha jua tu unao sungura)na vile vile unaweza watumia wewe mwenyewe wakakupunguzia gharama za kitoweo(hapo wewe ni mboga za majani na kitoweo cha nyama ya bure hiyo utaamua wewe uchome ,ukaange na nk)
KWA WENYE SHAMBA NA BUSTANI.
sasa hivi samadi inauzwa sasa wewe sungura watakupatia samadi nyingi bure na mkojo utakaotumia kunyunyiza kwenye mimea yako .
USISIKILIZE ETI NGOJA NIPATE SOKO LA MKUPUO WEWE ANZA KUFANYA FAIDA ZA HICHO KITU UTAZIPATA MBELE NA UTASHANGAAA.
Mfano,kuna watu huwa wanabeza hata wale bata wa kienyeji kwamba hawana soko kama wanavyobeza sasa kwa sungura lakini kuna watu wanafanya biashara ya kuchinja na kupaki nyama ya bata vizuri na kuziuza kama kuku kitu ambacho kinawezekana kwa nyama ya sungura nimeweka picha hapo chini.
Angalizo hizo picha sio za kwangu nimechukua kwa mjasiliamali yuko Dar.View attachment 726571View attachment 726572
Tafuta wakulima wasiotumia madawa ya kemikali,mfano wanalima Kilimo hai, organic farming, utaangia nao wawe soko ,Kwa nyama hotel za wachina ni soko pia.sawa mkuu shida iliyopo nani ananunua huo mkojo..? au utawauzia google..? maana wakulima dawa zao wanazijua sjawahi kusikia kuna mkulima anapiga mkojo wa sungura anaacha hay madawa mengine
Naomba nipe contact za huyo jamaa aliuekuja kuhamasisha,haya mimi kuna mtu akikuja kuhamasisha, ila niliamua kulima mihogo. Nataka kujua kama ni mtu mmoja.Kuna jinga limemuingiza mjini boss wangu eti alime michai chai soko lake ni noma duniani.Bossi wangu kalima heka kumi kwa sasa jamaa halionekani boss wangu kawa mwehu kila siku na majani ya michai chai kwenye gari lake tunapewa ofisini na siku hizi tumembadili jina tunamuita BOSS MICHAI CHAI
Sasa nishafuga! Nakata mashingo yao kila siku, ila sina uwezo wa kuwazuwia kuongezeka! Maana kila jike linazaa kila mwezi kuanzia tano hadi 18Hawana soko usijaribu
Kwa hoja hizi nakosa impact, kwa sababu hujafafanua ikiwa kuna tofauti ya kumla nyumbani au bar au hotel, maana kuna wasiokula bar wala hotel na hasa unaposema mkulima au mfugaji, tambua na mazingira yake!njia rahisi ya kufanya marketing research ya bidhaa za mifugo na kilimo.
amri ya kwanza.
wewe ndio mteja wa kwanza. kama unataka kuingia kwenye ufugaji labda wa sungura.
1. jiulize wewe ni mlaji wa sungura?
2.mara ya mwisho umekula sungura ni lini?
3. huwa unakula wakati gani na maeneo yapi. (hotelini, nyumbani, bar etc.)
amri ya pili.
angalia consumption pattern ya iyo bidhaa kwa majirani zako wa mtaani na ndugu zako wa karibu.
waulize maswali hayohayo hapo juu.
ukiona wewe binafsi si mtumiaji wa kwanza wa iyo bidhaa basi achana nayo.
fanya iyo analysis kwenye sungura, bata, bata mzinga, kuku, kanga, bukini, punda, ng'ombe etc... ukipata insight then wekeza.
Asante pia, unaweza kunisaidia zaidi?Usikatishwe tamaa bro soko lipo tu la sungura hasa mahoteli makubwa
Asante, ila sasa nimo, na yanaongezeka kwa kasi, kiasi kwamba, hata nikiwaza kuondoa hiyo project napata taabuMimi ni daktari wa mifugo ila sikushauri kuingia katika ujasiliamali wa sungura....
Soko lake hapa nchini kwetu liko chini mno kulingana na mifugo mingine.....
Kwa leo ni hivyo tu Mkuu
Asante kwa ushauri pia!Kwa mimi binafsi jinsi nilivyo ni kwamba kila mfugo unaowezekana kufuga mimi huwa nafuga huwa sisubiri kusikiliza kwa mtu kwa upande wa sungura huwa nawapenda kwasababu ufugaji wake ni rahisi sana na hauna gharama,ni kuwatengenezea banda zuri harafu unanunua mbegu hapo unaweza anza na wawili tu dume na jike na baada ya hapo utapata sungura wengi sana baada ya muda mufupi hadi utashangaa.
Chakula chake hununui unang'oa majani unawawekea ni bure kabisa na mabaki ya vyakula wao wanagonga kwa wale wenye mashamba na bustani yale majani ya kupalilia unayakusanya unawawekea wanagonga vizuri ambayo wewe ungeyatupa.
Hawaumwi kizembe na wala huwezi poteza gharama kununua dawa.
Sasa ninamaana mtu unaweza kuwafuga kwa mapenzi yako kwasababu hawana gharama ikitokea mtu anawahitaji unaweza muuzia (hapa huwa wanajitokeza sana kununua wakisha jua tu unao sungura)na vile vile unaweza watumia wewe mwenyewe wakakupunguzia gharama za kitoweo(hapo wewe ni mboga za majani na kitoweo cha nyama ya bure hiyo utaamua wewe uchome ,ukaange na nk)
KWA WENYE SHAMBA NA BUSTANI.
sasa hivi samadi inauzwa sasa wewe sungura watakupatia samadi nyingi bure na mkojo utakaotumia kunyunyiza kwenye mimea yako .
USISIKILIZE ETI NGOJA NIPATE SOKO LA MKUPUO WEWE ANZA KUFANYA FAIDA ZA HICHO KITU UTAZIPATA MBELE NA UTASHANGAAA.
Mfano,kuna watu huwa wanabeza hata wale bata wa kienyeji kwamba hawana soko kama wanavyobeza sasa kwa sungura lakini kuna watu wanafanya biashara ya kuchinja na kupaki nyama ya bata vizuri na kuziuza kama kuku kitu ambacho kinawezekana kwa nyama ya sungura nimeweka picha hapo chini.
Angalizo hizo picha sio za kwangu nimechukua kwa mjasiliamali yuko Dar.View attachment 726571View attachment 726572
Kuna jinga limemuingiza mjini boss wangu eti alime michai chai soko lake ni noma duniani.Bossi wangu kalima heka kumi kwa sasa jamaa halionekani boss wangu kawa mwehu kila siku na majani ya michai chai kwenye gari lake tunapewa ofisini na siku hizi tumembadili jina tunamuita BOSS MICHAI CHAI
Kama ni hivyo jaribu kuanza kutafuta soko lake katika hotel kubwa kubwa za kitalii mnaweza ingia makubaliano maaalamu na ukawa una supply nyama ya sungura kwao....Asante, ila sasa nimo, na yanaongezeka kwa kasi, kiasi kwamba, hata nikiwaza kuondoa hiyo project napata taabu
HahahahahahahahaNaomba nipe contact za huyo jamaa aliuekuja kuhamasisha,haya mimi kuna mtu akikuja kuhamasisha, ila niliamua kulima mihogo. Nataka kujua kama ni mtu mmoja.
Kuna mwingine pale karibu na Tabata Bima mbele tu ya oilcom upande wa kulia ukitoka mandela rd kwenye ukuta wa garage.Kuna yule jamaa maeneo ya uwanja wa tp pale darajani alikuwa anatengeneza mabanda ya sungura siku hizi hata siyaoni nadhani kakosa wateja kbs baada ya wadau wengi kukata tamaa.
Tatizo kwny huo uvunaji mkojo wabongo sio waaminifu mtu anaweza kukujazia na maji humohumo akakuuzia
Kabisa Kama mtu hajui bora kuwa kimyaStory za Wajasiliamali wa Kibongo huwa mara nyingi ni za kuingizana Chaka, Mwishowe unabaki unawaya waya na bidhaa zako!!!
Sungura wana faida kama ukifuatilia soko kabla ya kuwafuga. Niliishafuga Sungura na nilikuwa nawaoka napata wateja mara mbili kwa wiki. Faida kubwa ni wewe kupata mboga sababu wanavyozaana na wewe unapata kitoweo bila kukisaka. Mbolea vile vile na watoto kama unao wanapata pets wa kuchezea. Watoto wengi wanapenda kununua sungura kama upo Dar. Ulizia Mbezi Beach kuna wateja wengi tu. Kwenye Market kama Butcher pale Masaki waulizie wanaweza nunua.Nimekoma!!