Ufoo aapa kiapo cha kuficha siri

hebu nijuze kidogo walichosema majirani mkuu
 

Kwa hiyo Mushi ni mwenda wazimu, atoke alikotoka aamue kuja kuuwa tu, halafu ajipige risasi mbili kujiuwa yeye mwenyewe?

Fedha za matumizi ya kawaida na fedha za kutunza mtoto zinajulikana na fedha za kujengea na au kuanzisha miradi mingine zinajulikana.

Wewe ni wa machame pia?
 
Hivi msongo wa akili si sawa na wazimu?
Si angetumia sheria na mabaraza? Japo umenishangaza leo kumtetea 'mzinzi' huyu alieishi na mwanamke bila kumuoa kwa miaka yote hiyo. Labda bidada ndo alijilipa mahari kwa mali?
 
Hivi msongo wa akili si sawa na wazimu?
Si angetumia sheria na mabaraza? Japo umenishangaza leo kumtetea 'mzinzi' huyu alieishi na mwanamke bila kumuoa kwa miaka yote hiyo. Labda bidada ndo alijilipa mahari kwa mali?

Msongo wa akili ndio ulimuwezesha kujiua kwa risasi mbili. Au sio?
 
Hivi msongo wa akili si sawa na wazimu?
Si angetumia sheria na mabaraza? Japo umenishangaza leo kumtetea 'mzinzi' huyu alieishi na mwanamke bila kumuoa kwa miaka yote hiyo. Labda bidada ndo alijilipa mahari kwa mali?
vichaa wanapiga watu risasi?inawezekana jamaa kawaza mpaka kaona sheria itamdhulumu ingawa ni mwenye haki.Nani atapenda ampige risasi mama mkwe na mkewe?
leo Mushi anaonekana mzinzi,kama ni mzinzi huyo mwanamke why alikuwa anakaa na mzinzi?
 

Ok, fedha za miradi zinajulikana..so Mushi alituma sh.ngap? Na maelezo ya matumizi ya hizo hela yako wap? Nani wa kuthibitisha kuwa Mushi alitapeliwa?

Ufoo nae ana majeraha mawili ya risasi like Mushi sasa sijui hapo utapaongelea vip? Na kama ufoo angekuwa suspects angekuwa chini ya ulinzi manake crime scene ingekuwa wazi kujua risasi ni aina moja au kulikuwa na two shooters? Range ya mlengaji na alielengwa, finger prints n.k

ha ha ha! Me ni mchaga ila si wa machame.
 
Anaogopa kujichanganya.this time anaweza akaongea tofauti na mwanzoni
 
Walimshtua alishaanza kuropoka na akawa anaonge ugoro full kujichanganya!
 
Kama kaamua kutokusema basi akwepe vyombo vya habari!!!!!!

Otherwise ataamsha mapyaa!!!
 

Ngoja akina Mushi nao wako kazini, ukweli utadhihiri tu. Huyo Unidentified Flying Object UFO, anachokifanya siri ni nini kama yu mkweli?

Vipi, na wewe ni wa machame?

Swali lako la kwanza kwaninii usimuulize Ufo?
 
Swali la kwanza nimekuuliza wewe sababu unalazimisha kwamba ufoo alimtapeli mushi nyumba! Na wengne wenye mawazo kama yako mtoe majibu yakuthibitisha hizo acussations toward ufoo!

Kwan wewe si mmachame? Wewe ni wa wap? Nadhan nimeshakujibu hilo!

Wewe kila kinachotokea chumbani na mumeo huo unapeleka kwenye press? Kwanin unalazimisha mambo binafsi ya ufoo ayaweke hadharani? Na hata aliyosema ushasema ni uongo so hata akisema utamuamin kwa hiyo attitude uliyomjengea?
 

Huyu dada alivyokomaa,lakini kwenye gazeti wamemtoa ana nyama nyama. Mkatili sana. Alaaniwe milele.
 
Mambo ya shigongo bana eti "Alijibu kwa sauti ya chini lakini yenye mkazo"....kuuza gazeti si kazi ndogo
 
Haya usituambie ukae nalo mwenyewe kama mwenzio lulu si mnaona raha.
 

Mkuu nipo upande wako..
 
kama yule askari wa CRDB mapato branch kule Arusha e!

yaani hawa vijana wa siku hizi, kazi kununua bastola harafu kulenga "BULL" wanapata Div FIVE, Mulugo type
 
kwa mara ya kwanza nasoma post yako iliyoenda shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…