Ufisadi wa Nape huu hapa

mh nape zamani nilikuwa nakuona mzalendo wa kweli na hasa ulipofichua mkataba tata wa ujenzi wa jengo jipya la umoja wa vijana na bila uoga ulimshambulia mh lowas kwa kumwuhusisha na ufisadi wa mradi huo nasikitika sana unaharibu cv yako kwa kutukana watu kama dr wa ukweli DR SLAa ,jitahidi kutumia lugha za kiungwana ,unpoongea kweny radio au tv kuna wtu wengi wanakuona unavyojishushia hadhi, jaribu kujibu hoja na sio kumshambuli mtu
 
Hivi Nape si tukianza kukuvua nguo hapa utasalimika kweli?? haya yule dada(Mtz) uliyempa mimba India ukamsaliti unadhani ulitenda wema??na ile mimba yule dada aliitoa baada ya kuona umesepa na kuitaliki!! Hizi siasa hazina tija kamanda!!

kumbe wewe unawapa mimba wasichana wasio na uwezo na kuwakimbia??hivi wewe nape unathubutu kufanyakitendo kama hicho???tutalifanyia kazi
 
Wewe ndo umefilisika kweli kifikira. Kila anayemkosoa Nape au CCM unaona ni CHADEMA tu. Ni wapi na kwa namna gani mimi nimetaja CHADEMA au Dr Slaa. Nini kilichomsukuma Nape kuleta mambo ya udini dhidi ya CHADEMA wakati mimi sijataja popote kwamba mimi nipo for CHADEMA? Kwa taarifa yako, nina kadi ya CCM tangu mwaka 2000, na nimeshailipia kadi yangu hadi mwaka 2008 nilipoamua kuachana nayo baada ya kutoona faida ya kuilipia hiyo kadi ya CCM. Na hadi leo sijawahi jiunga na chama chochote cha siasa na wala sifagilii chama chochote zaidi ya mabadiliko ya kweli ya nchi yangu pendwa Tanzania. Ninawachukia watu wanaoiibia nchi yangu wakiwemo akina Nape ndiyo maana nimeleta hii thread hapa. Kama unataka kujipendekeza kwa Nape, jipendekeze kivyako, usituletee habari za chadema hapa.
 
Kutaja "Padri mmoja" sio kuatack personality? Kum§n^n¥ zako Nape!
 
Sio hilo tu bali Nape kama yalivyo magamba mengine ni mnafiki! Kama angekuwa muungwana angemsifu Dr wa ukweli Slaa kwa kuwawezesha CCM kujaribu kuvua magamba badala ya kumponda tangu alipoibua kashfa nyingi za ufisadi! Kiongozi mzuri ni yule anayetaja hata mazuri ya hasimu wake kama Nyerere aliposifia Katiba ya CHADEMA wakati yeye alikuwa ni wa CCM!
 
Heee, jamani kwani kama siyo nape nani angewataja mapacha watatu na kuongeza pacha wengine, walau alichofanya hata kama ni kidogo si mkitambue tu kwanza, ni mawazo tu.
 
Cc Faiza foxy
 
Huyu ndo makonda anaandika hivi? Naanza kuamini
 
Tutajenga viwanda kweli? kama tunaanza kufukua makaburi
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Namna ya uandishi inaonesha what he scored. Bahati mbaya ndio wanaoongoza wasomi, pathetic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…