Ufisadi wa kutisha wa Bernard Membe

Ufisadi wa kutisha wa Bernard Membe

Mleta mada naona umetumwa na unataka kuchafua siku yangu ya kuzaliwa,Sina mapenzi na CCM,lakini Membe ni kati ya wadilifu wachachae ndani ya ccm,Nalifahamu hilo,ndio maana watu wajinga kama wewe mnajaribu kumpaka matope kuchafua image yake.
Mleta uzi umeshindwa kuonesh Mh Membe anahusika vipi na gati ya Mbamba Bay? Labda huyo mkandarasi ni shemeji ya magufuli,au tenda hiyo ingekuwa imetolewa na Wizara ya Mambo ya Nje?
Jaribu kuhusisha ubongo wako unapoleta uzi!
UKANA SHILUNGO!
[/COLOR][/SIZE]

hivi unafahamu hata Richmond ilipingwa vibaya saana mwanzoni..wakamuita Slaa muongo na mnafiki...wewe ropoka tuu utaja baki peke yako hapa !!
 
mmmmh! not "this discussion" but your thinking capacity in the world of matrix!think the big picture!!!
You always think BIG but no delivery as a result of your BIG THINKING! Guy, why don't you drop everything on the table instead of beating around the bush? WHAT'S YOUR POINT? Oh! May be you need to be reminded... here, we discuss points and not what probably one thinks!
 
Mods nakusihi iondoe thread hii, kimeshanuka tena. tutaonekana wote hatufai 2015 halafu ile SAKOS ya kule kaskazi wataingia IKULU kwa turufu hii.
 
Yaani kampuni ni ya Shemeji,lakini anayetuhumiwa ni Membe?

Siasa zetu zitakua za kijinga sana kwa staili hii.

Nadhani hapa ni gutter politics ndani ya chama chao tu.Mafisadi wanataka kila mtu aonekane kuwa anafanana nao.

Shemeji yake ni gimmick ila the real deal ni Membe.
 
Mnaamanisha siku hzi JF inatetea mafisadi au? Au mods tayari wamrshanunumiwa na mafisadi?

Hawa jamaa nahisi wamekuwa matajiri sana, maana kila thread inayomusu "bwana mkubwa" wanaondoa. Nilitupia thread moja inayohusu ufisadi wa riz na tabia zake za kunyanyapaa wana-chalinze, lakini ilidumu kwa dk kadhaa then disappeared!
 
Only Steven Masatu Wasira ndani ya CCM. Hata anapokaa pale Ukonga na kwake Bunda panaonesha tu kuwa si mwizi.
 
Only Steven Masatu Wasira ndani ya CCM. Hata anapokaa pale Ukonga na kwake Bunda panaonesha tu kuwa si mwizi.

Ahahahah unampigia debe babako, tunashukuru kwa kampeni yako maana tunajua nae anajipanga kugombea lkn mmekatazwa kufanya kampeni mpk mwkn wewe pamoja na wenzio wanne!
 
chishango: Nakusikitikia kuwa unaongea mambo ambayo huna unalolijua. Huna aibu unadanganya kweupe. Bandari ya Kigoma ni kampuni ya Burundi iliyopata kazi hiyo. Sasa ukweli wako upo wapi!
 
Last edited by a moderator:
Ahahahah unampigia debe babako, tunashukuru kwa kampeni yako maana tunajua nae anajipanga kugombea lkn mmekatazwa kufanya kampeni mpk mwkn wewe pamoja na wenzio wanne!
No kaka. Majina tu yanaendana ila mi sina uhusianowowote wa kinasaba na Steven Masatu Wasira
 
Hii orodha ya mafisad n yakizandiki sana,km kupanda chopa n ufsd bac j.k ataitwaje anaemaliza ck 364 akiwa angan?
 
wanajamvi kumekuwa na upotoshaji wa makusudi kwenye siasa za tanzania kumuhusu ndg benard membe, waziri wa mambo ya nje na ambaye anatajwa kwenye mbio za kusaka ukuu wa nchi kuwa ni msafi na asiye na doa.

Ukweli ni kwamba huyu hana tofauti na wenzake huko kwenye chama chao,huyu bwana ameitia nchi hii kwenye hasara kubwa kwa makusudi ama kwa malengo anayoyajua yeye.

Akiitumia kampuni ya ujenzi ya shemeji yake emmanuel masanche iitwayo modspan bwana huyu alichukua kandarasi ya ujenzi wa gati katika bandari ya mbamba bay huko ruvuma na kigoma lakini kilichofanyika ni usanii wa hali ya juu kwani gati la mbamba bay halikidhi viwango na liliamriwa kubomolewa na kujengwa upya.

Ajabu ni kwamba hasara hii ni ya serikali kwa sababu modspan imelipwa fedha zote na kandarasi imepewa tena kampuni ya kichina kubomoa gati hilo na kulijenga upya huku modspan ikiachwa kwa amani kabisa na haijachukuliwa hatua zozote kisheria kisa kazi ilikuwa ya bwana mkubwa membe.

Hivi huyu anaitakia mema hii nchi kweli ndg zangu.....shime wananchi ccm ni kama ukoo wa panya hakuna aliye msafi huko tuwaondoe

View attachment 149045View attachment 149045

pichani ni sehemu ya gati hilo la mbamba bay ambalo linavunjwa ili kujengwa upya.
tunajua mtandao mchafu wa lowasa kwa kuchafua watu wengine, je mnataka madaraka kwa njia chafu kama hizo ili iweje? Inaonesha mlivyo na tamaa ya madaraka kwa faida yenu maana mko tayari kwa lolote ili mladi mwende ikilu.
 
chishango: Nakusikitikia kuwa unaongea mambo ambayo huna unalolijua. Huna aibu unadanganya kweupe. Bandari ya Kigoma ni kampuni ya Burundi iliyopata kazi hiyo. Sasa ukweli wako upo wapi!

Hiyo ya burundi ni awamu ya pili kama wachina wa mbamba bay baada MODSPAN kuharibu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom