Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
kwa umbea huu lazima uolewe mwaka huu
Aibu yako ni kuwa haujalamba hata shilingi wenzio wanakula Bata wanajenga mahekalu huku wewe unapanda daladala hadi Lumumba kufuata buku 7. Kuwa kijakazi WA watu ni shida kweli kweli