Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

Status
Not open for further replies.
Hapana, Albert Marwa amehamishia makazi yake Dubai, alizaa na yule binti wa JK aitwae Salma, yeye na Eiz ni marafiki wa karibu sana, amekua akitumika kufanya ishu nyingi na kuchukua tenda nyingi za TANESCO kwa mgongo wa bamkwe
Huyu Albert ingekuwa kule Sudan angesababisha huyu Salma kunyongwa kwa kuzaa na kafir.

Tumshukuru Mwalimu kwa kutuachia NCHI isiyo na DINI wala sharia.

cc, Ritz, FaizaFoxy

 
Last edited by a moderator:
Kuna mambo ya ajabu sana , halafu wapo wanaoratibu mkakati wa kuusifia utawala huu...
Kama wanafaidika na huo utawala na hawajari maslahi ya walio wengi kama ww kwanini wasiusifie
 
Kassim Mtawa ni fisadi la siku nyingi. Ndiye aliyeoongoza kutafuna Billion 1.7 za NORAD
 
bajaji.jpg


Kassim Mtawa, waislamu hawafanyi madhambi kama haya. Unaenda ahera, hejanam kabisaaaaa
 
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.

Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.

Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.

Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.

Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.

Mtawa..Ndio mmiliki wa lile Ghrofa jirani na ofisi Za idara Oysterbay..lijulikanalo Kama DAR ES SALAAM FREE MARKET....Likipakana pia na ubalozi wa Kenya ......Kupata double plot Oysterbay si mchezo na Moja kuweka Parking
 
Nchi hii kuna watu wako hata juu ya mawingu. Mungu yupo na anayaona yoote haya!!!
 
mkuu mbona haina haja kufadhiliwa kama kweli umedhamiria kuitetea hii nchi we beba tu chupa ya petrol na kiberiti panda gari la gmboto shuka kituo kinaitwa aiport. ksubirie hapo hua hamaliz siku bila kwenda hapo. uumpe ujumbe wako. kazi njema
 
Mi nafikiri waendelee kuiba tu, hii nchi haina mwenyewe!

Sio haina mwenyewe mazoba tupo wengi sana waendelee kuiba waibe mpaka wake zenu waume zetu waibe tu sisi tutabakia hewaaa kila kitu hewala.
 
Halafu wakaleta DENGUE feki kutupumbaza akili.......

Daftari la wapiga kura ndugu liboreshwe yaani watu tuna usongo na ccm ikitoka madarakani wallahi najipa likizo ya wiki nzima kusherekea na jamaa zangu yaani tumewachoka ajabu.
 
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.

Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.

Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.

Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.

Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.

Duuu!! Kikwete ni noma, anataka hizi pesa apeleke wapi baada ya kumaliza urais wake?
 
Mtawa..Ndio mmiliki wa lile Ghrofa jirani na ofisi Za idara Oysterbay..lijulikanalo Kama DAR ES SALAAM FREE MARKET....Likipakana pia na ubalozi wa Kenya ......Kupata double plot Oysterbay si mchezo na Moja kuweka Parking
Sera nzuri za Rais Mstaafu Mkapa kuuza nyumba za serikali kwa Watumishi wake. Nchi hii ina vichwa acha tu.

Eneo lile lingeweza kujengwa maghorofa ya kuishi watumishi wa serikali lakini UBINAFSI ulivyotujaa WATANZANIA.
 
Dah, inasikitisha sana kwa kweli.......ila mwisho wao hauko mbali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom