Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Hapana, Albert Marwa amehamishia makazi yake Dubai, alizaa na yule binti wa JK aitwae Salma, yeye na Eiz ni marafiki wa karibu sana, amekua akitumika kufanya ishu nyingi na kuchukua tenda nyingi za TANESCO kwa mgongo wa bamkwe
Du kwani hawaishi wote? Nilisikia kuwa walikuwa wanaishi wote ila ndia sijawahi kusikia kama tulivyosikia na kushuhudia japo picha za Ritz na Miraji!!! Kweli kila rasilimali itasalimu amri!!!! Chaguo la Mungu sasa limetufikisha pabaya!!! Nikikumbuka ushindi wa tsunami 2005!!! Mhhhhh watanzania tumeliwa.