Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

Status
Not open for further replies.
Hapana, Albert Marwa amehamishia makazi yake Dubai, alizaa na yule binti wa JK aitwae Salma, yeye na Eiz ni marafiki wa karibu sana, amekua akitumika kufanya ishu nyingi na kuchukua tenda nyingi za TANESCO kwa mgongo wa bamkwe

Du kwani hawaishi wote? Nilisikia kuwa walikuwa wanaishi wote ila ndia sijawahi kusikia kama tulivyosikia na kushuhudia japo picha za Ritz na Miraji!!! Kweli kila rasilimali itasalimu amri!!!! Chaguo la Mungu sasa limetufikisha pabaya!!! Nikikumbuka ushindi wa tsunami 2005!!! Mhhhhh watanzania tumeliwa.
 
Mtawa ni binamu yake Kikwete. Alimkimbia mkewe hospitali afrika ya kusini 2007 baada ya mkewe kugundulika ameathirika. Mkewe alifariki baadae huko huko afrika ya kusini huku mtawa akiwa amemtelekeza na kurudi dar-es-salaam. Tangia wakati huo amekuwa akitumia vibaya ukaribu wake na kikwete huku akiishi maisha ya ponda mali kifo chaja.

Mimi ni mtu wa karibu na familia ya mkewe.
 
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.

Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.

Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.

Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.

Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.

huyu mtawa na mfahamu vyema mpaka watoto wake wote alikua jiran yangu pale sinza jiran na lion hotel,ni ndugu wa jk na pia alikua mtumish wa ikulu tangu jk akiwa wazir wa mambo ya nje,kwa sasa nasikia kajenga hekalu huko mbez beach ndipo anapoish na familia yake,ama kweli nchi inaliwa na wachache.
 
kila uliye na ukaribu naye unamwacha achukue mali tulizokupa dhamana walizo chukua zinaonekana ni nyingi maana bado ulizowapa atuji we siku tukiitaka azina yetu sijui itakuaje maana wamekuzidi adi mwenye mamlaka najua itakuwa tupu
 
Mtawa ni binamu yake Kikwete. Alimkimbia mkewe hospitali afrika ya kusini 2007 baada ya mkewe kugundulika ameathirika. Mkewe alifariki baadae huko huko afrika ya kusini huku mtawa akiwa amemtelekeza na kurudi dar-es-salaam. Tangia wakati huo amekuwa akitumia vibaya ukaribu wake na kikwete huku akiishi maisha ya ponda mali kifo chaja.

Mimi ni mtu wa karibu na familia ya mkewe.

mkuu bila shaka unamzunguzia mama Ali au mama Salama au mama Rehema,huyu rehema alikua demu wangu wakat wanaish maeneo ya sinza hata msiba wake nilihudhuria,Mtawa ameanza kuwa tajir baada ya jk kua rais,
 
Kikwete na familia yake ni janga la kitaifa ila wa kujilaum ni sisi kwani mwalim alisha mkataa sisi tukampuuza baada ya kifo chake. Asieskia la mkuu....
 
Huu uzi unaeza usiwe na uhai sana

Mkuu Sizinga kama kweli mods wana uchungu na nchi hii huu uzi usiondolewe kwa sababu nimegundua watu wana facts na kweli zile hela zimepigwa na nyumba kubwa!!! Ninatamani sana siku upinzani utaichukua hii nchi na kufilisi mali za hawa viroboto.
 
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.

Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.

Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.

Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.

Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.

unavyofahamu wewe pesa hizo za escrow ni za nani?
 
Kikwete na familia yake ni janga la kitaifa ila wa kujilaum ni sisi kwani mwalim alisha mkataa sisi tukampuuza baada ya kifo chake. Asieskia la mkuu....

Baba wa Taifa alikuwa na maono na taiffa hili. angepata ruhusa afufuke angemwomba mungu afe na asiruhusu afufuke tena milele.
 
Hiyo ndo kawaida ya wtz kuwa kama bendera,Hata Lowasa nae si mmeshaanza kumpa misifa kibaoo utadhan ni mtu saaafii kumbe!Halafu baadae malalamiko kibao!Mimi huwa najiuliza hivi huyu Lowasa anania gani mpaka atumie mipesa kuwapa watu(Boodaboda) na taasisi za kidi?Mbona alipokuwa waziri sikuwahi kuona au kusikia mambo hiz?Je akiingia ikulu atashindwaje kuzirudisha pesa zake kwanza?Pia atashindwaje kutafuta faida kama anavyofanya mkuu na familia yake? MWISHO HUWA NASEMA SINTOMUAMINI TENA MWANASIASA YEYOTE YULE.
Du kwani hawaishi wote? Nilisikia kuwa walikuwa wanaishi wote ila ndia sijawahi kusikia kama tulivyosikia na kushuhudia japo picha za Ritz na Miraji!!! Kweli kila rasilimali itasalimu amri!!!! Chaguo la Mungu sasa limetufikisha pabaya!!! Nikikumbuka ushindi wa tsunami 2005!!! Mhhhhh watanzania tumeliwa.
 
Ndiyo maaa Spika alijitahidi kuzima moto maana wakwapuaji wa ile hela wanajulikana. Asante sana JB kwa taarifa. Ninataka marafiki zangu pro CCM mkatize hapa mtueleze mwelekeo wa Taifa hili. cc Ritz, Rejao, FaizaFoxy, Mamndenyi, Chama, Chabruma, ZeMarcopolo, Chris Lukosi, Msalani. Wakati mwingine tusiteee tu uchama, tuangalie hali halisi na kuwa wakweli.

Mkuu mbona unawachokoza?
 
NIDAIWE NINI TENA?Mimi nadaiwa Tshs 479,000 ambayo ni mgao wa deni zima la taifa kwa Watanzania wote 45,000,000.

Mkuu usinikumbushe machungu. Katika madeni yote niliyo nayo hili linaniumiza sana. Iweje watumbue wengine mie ndio nilipe? Ni sawa uamke asubuhi unaona unaletewa na mhudumu wa Grocery ya jirani bili ya vinywaji anakuambia Katibu kata wa CCM kanywa kasema bill uletewe wewe wakati hata mahusiano naye huna.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
ALIM0756.JPG

Albert Marwa, Kulia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom