Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
- Thread starter
- #201
Kabisa mkuuJPM aliwakilisha na kusimamia ajenda kubwa sana ya kurudisha nchi kwa wananchi, mbegu aliyoipanda haiwezi kufa kirahisi!
Tunakosea tunavyojaribu kupambana nae as if yeye alikua mmiliki wa hiyo ajenda kubwa wakati yeye alikua mwakilishi tu!
Kifo chake kimefanya nchi iponyoke kidogo tu kutoka kwenye mikono ya wananchi lakini ni kitambo kidogo itarudi.
WE WILL RISE AGAIN!