Ufisadi/ubadhirifu umeua fao la Toto Afya Card NHIF, wananchi wanakufa

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
Toto afya mzazi alilipia Tsh 50400 na mtoto alipata huduma za afya muhimu karibu zote kwa mwaka. Ukaguzi wa CAG umebaini ubadhirifu wa mabilioni manene na umepelekea baadhi ya huduma kusitishwa likiwemo fao la toto Afya.

Hili fao nina uzoefu nalo, mf kuna dogo anaitwa Masandawana (sio jina halisi) ana ugonjwa wa maisha na analazwa karibu mara 4 kwa mwezi, mama yake ni mtu wa kazi za kijungujiko. Sasa kaondolewa fao hilo unadhani Masandawana atakuaje?

Foundations na watu binafsi waliwalipia kadi hizi watoto yatima, wasiojiweza n.k ili wapate matibabu...sasa limefutwa, ishakua shida.

Kumbuka kuna ambao hatutumii bima hata 3 yrs ila tunakatwa kila mwezi...kwa nn hiyo hela isiwasaidie hawa watoto?

Mkurugenzi wa NHIF anasema watoto under 5 serikali inawatibu bure, ndg msomaji ni hosp gani inatoa huduma bure? pale utaambulia panadol na amoxcillin tu. Dawa za juu kama Flucamox nk, utalipia tu.

CAG kabaini NHIF imekopesha wafanyakazi wake pesa mabilioni bila kufuata utaratibu...means hazirudi. Wafanyakazi wamejenga mahospitali, Pharmacies na majumba bila kusahau kununua magari ya kifahari kwa hela ya watz wanaochangia kila mwezi, then wanawakatia mafao watoto? This is killing!

Taifa la kesho ni watoto, kwa nn waondolewe fao hili? Majibu ya NHIF yamekaa kisiasa, in real hawa jamaa mfuko wameufuja sana. Sasa hiyo Bima ya Afya eti kwa wananchi wote tutaisikia kwenye vigoma vya kampeni tu, ila tunaendelea kuchapika!

NHIF wanaendelea kupunguza matumizi kwa kuwapunguzia huduma wananchi, mf Form 2C iliondolewa na mgonjwa akikosa dawa hospitalini hawez kwenda kuchukua pharmacy ya nje.

Huko hosp zinazopokea wagonjwa kwa NHIF nao wanalia, makato yamekua mengi, mengine ya uonevu!

Real, hili taifa kila sekta ni wizi tu!

Anyway, kila mtu aliambiwa ale urefu wa kamba yake, tulio tunduni tuendelee kukomaa na tiba za mitishamba na mazoezi.
 
V8 ndo mpango. Hayo mambo ya TotoAfya sijui ubunifu mtajuana wenyewe
 

Attachments

  • images (74).jpeg
    images (74).jpeg
    53.1 KB · Views: 10
  • 1797020_IMG_20180715_131927 (1).jpg
    1797020_IMG_20180715_131927 (1).jpg
    112.9 KB · Views: 10
Ngoja waje wale pinga pinga wanaovamia kila uzi na kukomenti pumba bila kupinga hoja kwa hoja.

Ila kuna siku niliota kuwa, Watanzania walichoka na wakaamua kuiingia ikulu, yani ile ya raisi Bolsaro wa Brazili ilikuwa ndogo.

Wenye nchi waliikimbia ikula, Njaa ziliwapeleka watanzania barabarani.

namalizia kwa kusema.

“Haijalishi usiku ni mrefu kiasi gani ila ni LAZIMA jua lichomoze “

saa ya mabadiliko itakuja

Nshomile
Kagera,Tanzania
 
Toto afya mzazi alilipia Tsh 50400 na mtoto alipata huduma za afya muhimu karibu zote kwa mwaka. Ukaguzi wa CAG umebaini ubadhirifu wa mabilioni manene na umepelekea baadhi ya huduma kusitishwa likiwemo fao la toto Afya.

Hili fao nina uzoefu nalo, mf kuna dogo anaitwa Masandawana (sio jina halisi) ana ugonjwa wa maisha na analazwa karibu mara 4 kwa mwezi, mama yake ni mtu wa kazi za kijungujiko...sasa kaondolewa fao hilo unadhani Masandawana atakuaje?
Foundations na watu binafsi waliwalipia kadi hizi watoto yatima, wasiojiweza n.k ili wapate matibabu...sasa limefutwa, ishakua shida.

Kumbuka kuna ambao hatutumii bima hata 3 yrs ila tunakatwa kila mwezi...kwa nn hiyo hela isiwasaidie hawa watoto?

Mkurugenzi wa NHIF anasema watoto under 5 serikali inawatibu bure, ndg msomaji ni hosp gani inatoa huduma bure? pale utaambulia panadol na amoxcillin tu. Dawa za juu kama Flucamox nk utalipia tu...

CAG kabaini NHIF imekopesha wafanyakazi wake pesa mabilioni bila kufuata utaratibu...means hazirudi. Wafanyakazi wamejenga mahospitali, Pharmacies na majumba bila kusahau kununua magari ya kifahari kwa hela ya watz wanaochangia kila mwezi, then wanawakatia mafao watoto? This is killing!

Taifa la kesho ni watoto, kwa nn waondolewe fao hili? Majibu ya NHIF yamekaa kisiasa, in real hawa jamaa mfuko wameufuja sana. Sasa hiyo Bima ya afya eti kwa wananchi wote tutaisikia kwenye vigoma vya kampeni tu, ila tunaendelea kuchapika!

NHIF wanaendelea kupunguza matumizi kwa kuwapunguzia huduma wananchi, mf Form 2C iliondolewa na mgonjwa akikosa dawa hospitalini hawez kwenda kuchukua pharmacy ya nje.

Huko hosp zinazopokea wagonjwa kwa NHIF nao wanalia, makato yamekua mengi....mengine ya uonevu!

Real, hili taifa kila sekta wizi tu!

Anyway, kila mtu aliambiwa ale urefu wa kamba yake, tulio tunduni tuendelee kukomaa na tiba za mitishamba na mazoezi
Inasikitisha kwerikweri. Kuongeza gharama za Toto afya Kadi mara 2 ni kuamua watoto wafe kweli watawala wetu hawana huruma kabisa na ni wauaji wakubwa.

Imagine vijijini amabako nos watz wapo wengi Nani atamudu gharama hizo mpya Matokeo Yake ni kukimbilia Kwa waganga na kupoteza NGUVU KAZI ya kizazi kijacho

Siku watanzania mmeamka usingizini hope ujinga kama huu hutokuwepo tena.
 
Huu mfuko jau sana,nilikuwa na tatizo la sikio,jamaa ananiambia dawa ya kutibu inauzwa elf 5000 haipo katika bima nilipie,kuna madawa kibao wameyaondoa..
 
Huu mfuko jau sana,nilikuwa na tatizo la sikio,jamaa ananiambia dawa ya kutibu inauzwa elf 5000 haipo katika bima nilipie,kuna madawa kibao wameyaondoa..
Hosp ilikua ina level gn? ka ulienda hosp ya chini, fahamu c kila huduma hutolewa. Dawa zimepangwa kwa levels za hosp
 
Hili eneo unashangaa hata asasi za kiraia zimekaa kimya. Kuna watu hujitoa kuwakatia watoto hizi bima.
Hivi kwanini wananchi tunaangamiza the most vulnerable group.
Waongezee shs 10 kwenye mafuta tuwalipie hawa watoto bima.
Hawa hawana uwezo wa kujitetea na watetezi wote wapo kimya.
Hizi ni hoja za uchaguzi. Tukutane mwakani.
 
Hili eneo unashangaa hata asasi za kiraia zimekaa kimya. Kuna watu hujitoa kuwakatia watoto hizi bima.
Hivi kwanini wananchi tunaangamiza the most vulnerable group.
Waongezee shs 10 kwenye mafuta tuwalipie hawa watoto bima.
Hawa hawana uwezo wa kujitetea na watetezi wote wapo kimya.
Hizi ni hoja za uchaguzi. Tukutane mwakani.

Alafu watu wanataka tumuite rais mama wakati ata kusaidia au kuliongelea tu kashindwa. Mama gani asiyejali watoto wadogo huyo?
 
Mkuu huduma ya matibabu bure kwa watoto siku hakuna...juzi mbezi kuna mama wamemtoa nduki mchana kweupe

Ccm ni wezi
 
Hosp ilikua ina level gn? ka ulienda hosp ya chini, fahamu c kila huduma hutolewa. Dawa zimepangwa kwa levels za hosp
Kuna hospital ukienda hukosi dawa, kuna zingine ukienda hupewi mf zahanati itabidi uchangie
 
Issue sio chama bali ni wananchi. Tuwaokoe hawa watoto
Sasa Kama chama Cha CCM kimeshika hatamu

Chadema wakisema tuandamane tunakuta tupo wawili,

Watanzania Ni nchi ya kishoshalisti huo ndio mfumo, dai KATIBA YA TANZANIA MPYA
 
Back
Top Bottom