Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Rais awali ya yote natumai, natumaini na ni matumaini yangu umzima wa Afya,
Mwaka jana Wananchi hasa Sisi wenye watoto wadogo tilipata mshituko kidogo kusikia NHIF wametoa Kifurushi cha Toto Afya na kuweka utaratibu mpya
Utaratibu mpya wa sasa wa"Toto Afya"unapatikana kupitia mashuleni tu, Na Kule Shuleni NHIF imeweka utaratibu wa Idadi maalumu itimie ndo wapate hiyo "Toto Afya "
Kama hiyo Idadi ya watoto 100 isipotimia kwa shule basi mtoto hawezi kupata hiyo Huduma ya Toto afya
Mpaka Sasa shule nyingi zimekwama hicho kigezo ikiwepo shule wanayosoma Watoto wangu
Maana yake Sasa hivi watoto wengi Ambao wazazi wao sio waajiliwa wa Serikali wanakosa hii Huduma ya msingi ya Bima ya Afya kwa Watoto wao
MH Rais Samia:Chonde Chonde ingilia hili Kati NHIF warudishe ule Utaratibu wa awali hata ikibidi waongeze kiwango cha kulipia
Rais Samia 80% ya Watanzania ni (Sector Binafsi) kwahiyo utaona tatizo kubwa na Zaidi mamilioni ya watoto kukosa Huduma hii
Lakini pia Rais Serikali inaweza kubana matumizi mengi na pesa zingie kusadia au kutatua Hili tatizo na watoto wote waweze kupata haki zao za matibabu (Toto Afya)
MH Rais Naamini unaongozwa na jopo la washauri wenye Hekima,Walione hili kwa Jicho la Tai na kupatiwa Ufumbuzi wa haraka kuokoa vifo kwa watoto
Asante naomba kuwakilisha na nikutakie Majukumu Mema ya kuongoza Taifa letu
Alex
+255 655 308494
Mwaka jana Wananchi hasa Sisi wenye watoto wadogo tilipata mshituko kidogo kusikia NHIF wametoa Kifurushi cha Toto Afya na kuweka utaratibu mpya
Utaratibu mpya wa sasa wa"Toto Afya"unapatikana kupitia mashuleni tu, Na Kule Shuleni NHIF imeweka utaratibu wa Idadi maalumu itimie ndo wapate hiyo "Toto Afya "
Kama hiyo Idadi ya watoto 100 isipotimia kwa shule basi mtoto hawezi kupata hiyo Huduma ya Toto afya
Mpaka Sasa shule nyingi zimekwama hicho kigezo ikiwepo shule wanayosoma Watoto wangu
Maana yake Sasa hivi watoto wengi Ambao wazazi wao sio waajiliwa wa Serikali wanakosa hii Huduma ya msingi ya Bima ya Afya kwa Watoto wao
MH Rais Samia:Chonde Chonde ingilia hili Kati NHIF warudishe ule Utaratibu wa awali hata ikibidi waongeze kiwango cha kulipia
Rais Samia 80% ya Watanzania ni (Sector Binafsi) kwahiyo utaona tatizo kubwa na Zaidi mamilioni ya watoto kukosa Huduma hii
Lakini pia Rais Serikali inaweza kubana matumizi mengi na pesa zingie kusadia au kutatua Hili tatizo na watoto wote waweze kupata haki zao za matibabu (Toto Afya)
MH Rais Naamini unaongozwa na jopo la washauri wenye Hekima,Walione hili kwa Jicho la Tai na kupatiwa Ufumbuzi wa haraka kuokoa vifo kwa watoto
Asante naomba kuwakilisha na nikutakie Majukumu Mema ya kuongoza Taifa letu
Alex
+255 655 308494