Hivi kweli unaamini kinachogombwa hapa ni Tesha na Msangi kutoa tendo kiupendeleo bila kujali aliyepewa ni kabila gani? ... Kosa si la Mhindi. Kosa ni yeye kuwa Mhindi. Kuna tofauti.
Wewe ndio unaona tatizo ni kuwa Mhindi, una project trepidatious fears zako na ultra-sensitivity kwa Wahindi wa Flamingo. Kosa ni upendeleo unao sound in corruption, na mnufaikaji happens to be Mhindi. Unajaribu ku exude moral high ground kwa kujiweka kama mtetezi wa wanaobaguliwa, lakini mrengo wako ni Wahindi.
Kuna siku Wazawa Asilia walibaguliwa hotelini Arusha mpaka wahusika wakaomba msamaha kwa Waziri na kusema watabadilisha policy zao wewe ukaja hapa kutetea wabaguzi na wazungu. Such Judas-like, shameless failure of moral authority.
Pdiddy ameiweka hoja yake wazi katika kichwa cha mada alipotofautisha mtanzania na mhindi. Bado hauoni ubaguzi hapo?
Inawezekana Mhindi wa Flamingo sio Mtanzania, wewe na mimi hatujui anachojua Pdidy.
Kama hauwezi kuona kuwa Tesha analaumiwa si kwa kufanya upendeleo tu bali kwa kumpendelea mhindi basi hamna namna ninaweza kukuonyesha vingine. Kilichobaki nikubali kutofautiana.
Kuna subtext ambayo unai miss. Mtu akisema "Msangi kampendelea Mhindi" ujumbe ni kwamba kuna ufisadi umetokea maana Wahindi wanajulikana kwa utajiri na kwa uharaka wa kotoa rushwa. Hicho kitu unakikataa kwa sababu uko hell-bent kutetea Wahindi wa Flamingo.
Unanishutumu kwa intellectual dishonesty ninapowaingiza wapemba kwenye mada lakini wewe ukiwaingiza wagogo, wamasai ......ruksa!
Wagogo na Wamasai ni mifano ya perennial social-economic underclass Tanzania. Wengi wao ni walinzi, omba omba, wachunga mbuzi. Si hali nzuri maana inaweza kujenga mataba ya fukara wa kudumu. Ni tatizo la linalobidi kuangaliwa.
Posting ya Pdiddy hiyo hapo juu. Nionyeshe wapi kasema huyo Mhindi hana qualification?...Wapi aliposema huyo Pdiddy kuwa wakina Tesha kuwa huyo Mhindi ana qualification kuliko waswahili ?
Pdidy kasema hata Wazawa Asili tunaweza hizo tenda, sio Mhindi wa Flamingo peke yake. Pdidy alijadili qualification, mwanzoni ulisema hakuna aliyezungumzia, nikaku call out for hayo matundu kwenye facts zako. Aliyeoneka kinyemela kwamba ana qualification ni huyo - for descriptive purposes - Mhindi wa Flamingo.
Unajuaje kuwa hakukuwa na wahindi wengine kwenye kuomba hiyo tenda na wao wakaonekana hawana sifa za aliye shinda?
Inawezekana wapo, lakini unaposema "Sifa za aliyeshinda" kwa Tanzania inaweza kuwa ni mwenye bakshishi kubwa zaidi. Tanzania ndivyo ilivyo lakini wewe ni idealist unayeishi kwenye kiota cha Utopia, unajifanya hujui hali halisi. Unajuaje Mhindi wa Flamingo hakuhonga?
... Basi kwa nini walitangaza tenda ya wazi? Si wangesema tu kuwa hii tenda ni kw ajili ya wazawa, wengine wasijisumbue kuomba!
Issue sio uzawa, issue ni upendeleo kwa mfanyabiashara wa Flamingo, who happens to be Mhindi. Tenda ilitangazwa, wazawa asili wakaomba, mchakato ukasimishwa, tenda ikaibuka kwa Mhindi wa Flamingo. Ni sumu ya ufisadi na upendeleo unaoweza kuwa powder keg.
Unakuwa disingenious! Kwa hiyo aliyepewa tenda angekuwa mzigua kichwa cha habari kingesema amepewa mzigua wakanyimwa watanzania! Swali langu la kwanza lilikuwa 'je Mhindi hawezi kuwa mtanzania?'
Unajuaje Mhindi wa Flamingo ni Mtanzania?
Unaogopa nini kuitwa mbaguzi? Maneno yako si yanakushitaki?
Kama kulaani rushwa, zikiwemo zilizokithiri za Wahindi ni ubaguzi basi nihesabiwe kati ya wabaguzi.
...basi mnanitwisha mzigo wa kuwatetea wahindi! Sioni aibu kumtetea Mhindi...
Kama kuwatetea wahindi ni kutwishwa mzigo, basi usiseme huoni aibu kuwatetea. Unajifunga-funga. Huwezi kujenga hoja kwa kiswahili kisichoeleweka eleweka halafu ukadai ni maswala madogo ya "semantics." Hueleweki. Endelea kutetea Wahindi na uovu wao.
... Mantra yangu ni kuwa apimwe na ahukumiwe mtu kw kile alichofanya na si rangi yake.
Ya rangi ni wewe umeyaleta.
Mbona kwenye michezo huko ulaya na marekani wamejazana watu weusi?....
Sio tatizo weusi kujazana iwapo kuna level playing field ya kuingia huko. Kama hakuna, kuna tatizo. Sasa hivi kuna mwamko, kwenye michezo kwa mfano, kuongeza idadi ya makocha na wamiliki weusi kwenye American football. Kumekuwa na wazungu watupu, na imeonekana kuna tatizo. Kama Wahindi wamehodhi biashara kwa baadhi ya sababu za kibadhilifu, ni tatizo. Tulikomeshe.
Nimesema tatizo hapa linaelekea ni uhindi wa huyo...
"Inaelekea" kwako wewe! Sasa usitake kulazimisha kila mtu kwamba tatizo ni uhindi wao. Huwezi kuumiza kichwa na kuleta dissertational arguments ndefu based on "Inaelekea." Unaleta ma assumption yako, na ma trepidation ya kutetea Wahindi wa Flamingo based on "Inaelekea." Flimsy!
... Ndivyo tulivyofundishwa Middle School.
Oh, okay. sikupata hilo funzo, sikusoma middle school. Kumbe na wewe umefika Middle School, nilisikia ikisemwa Fundi Mchundo hakwenda hata shule, hakupenda kukanyaga umande. Sijui lipi ni la kweli sasa. Na ukasema "ashakhum si matusi," ashakhum ni nini?
... Hivi nyie mnaona kweli Mhindi hastahili kutetewa hata kama ameonewa? Halafu mnawalaumu wasipoonyesa mnachokiita uzalendo!
Uzalendo sio kitu unafanya in response to how fellow countrymen treat you. Kama unapenda nchi yako utaipigania hata iweje. Wamarekani Weusi walikanyagwa kupita kundi lolote duniani lakini Marekani ni kwao na wamepigania haki zao huku wakipigania nchi yao vitani, hawana pengine, ndio uzalendo. Wa Flamingo wengi ni wapita njia tu.
Leo hii magazeti ya uingereza ..Yanasema muingereza aachiwa na sio mtu mweusi aachiwa. .....Wanaposema mtu mweusi mwenye dreadlock wanafanya hiyo kuelezea ethnicity ya mtu na si utaifa! Hao wakiambiwa polisi alidhani wao sio wamarekani kwa sababu ni watu weusi, naam , watakuwa na haki ya kudai ni ubaguzi.
Hujaelewa. Issue ya Uingereza ina international dimension, ndio maana wanasema "Mwingereza aachiwa...Korea yawaachia Wamarekani." Ingekuwa domestic issue wasingesema Mwingereza aachiwa, maana tunajua tuna dili na Waingereza. Hapa kwetu tunasema Mhindi wa Flamingo in a descriptive context. Hatujasema loloter kuhusu Utaifa wake. Hiyo ndio ilikuwa context ya mfano wa "the fugitive rapist is a black male, wearing drealocks." Description kama hizo zipo na hazichukuliwa kibaguzi.
Wrong context again. Huwezi kuzungumzia upuuzi wa vita vya Iraq kujenga hoja yako. Mfano mzuri ni wakati wa mauaji Rwanda...
Umedai kwamba Wahindi ni wachache sana hivyo hawataweza/watashindwa kwenye kupigana. Nikakwambia, toka lini ushindi wa vita unaendana na idadi ya wapiganaji? Nikakupa mfano wa vita ya US-Iraq wakati Sadaam ana jeshi la nne kwa ukubwa duniani, (Gulf War), ni Wamarekani wangapi walienda kule kuteka Baghdad in a matter of hours/days? Hicho ndicho kilikuwa kituko, kutaka kuwaonyesha Wahindi ni so powerless, innocent and non-threatening. Ukichukua higher moral plane uwe balanced, sio biased.
Machafuko hayo unayoyazungumzia yakitokea itakuwa ni weusi kuwavamia wahindi na kuwachinja na si vinginevyo. Sasa mimi nitahusika vipi? Huyo Dewji atanifuatia Buguruni kwa malapa kunifanya nini?
Atakufuata? Kumbe hakuna Dewji Buguruni kwa Malapa? Kwa nini? Hawafiki huko, nhaa? Wana vi enclave vyao upanga, au? Watu wakianza "kumalizana" Tanzania usiwe na hakika kwamba hutaguswa. Halafu inawezekana wewe Fundi ukawa haupo, Mzee Mchundo jee? Umehamisha familia nzima? Huna jamaa unaowajali? Eti "mtamalizana." Kumbuka watu wako kidogo.
Kwa hiyo wewe msema kweli mwenye kujua facts...
Kwa hiyo mtu akisema Fundi Mchundo umekosea fact fulani unamwita "wewe mwenye kujua facts..."? Usi stoop down to Field-Marshian retorts bana. You aught to be bigger than that kama unataka ku espouse a higher moral ground kwa kutetea unaodhani wanaobaguliwa.
unataka kusema alipandishwa cheo mzungu huko New haven?
Hakuna aliyepandishwa cheo, nimerudia mara mia nne sasa. Ulitoa kahabari kalikopinda. Watu wana uchungu na ufisadi wa huyu Tesha na Msangi na Mhindi wa Flamingo, usidhani utakuja kuwatetea na facts zenye gaps ukadhani utapeteshwa peteshwa hapa. You will be called out.
Mwelekeo wenu unaelekea kuwa tatizo si kuhodhi maduka bali ni Mhindi kuhodhi maduka.
Muelekeo? Unabahatisha? Unaotea-otea tu na kubahatisha tu. "Muelekeo unaelekea..." huwasilishi vitu vikaeleweka, ndio maana labda hatuelewani. "Muelekeo unaelekea..."?
Self-entitled facts ndiyo nini tena?
Your own facts, which you are not entitled to.
Ubishi wa Kuhani ulikuwa tofauti na wa kwako...yeye angalau alikuwa...
Bado sioni uhusika wa huyo hapa mjadalani.
Dilunga unaanza kuni-boa.
Well, wapo watakao ku keep interested and excited, mimi sitaweza kukuhakikishia hilo.
Yadharau tu ninayotundika.