Baada ya habari za kifisafi kuenea kila kona na hata kuonyesha kwamba CCM na Serikali walitumia pesa za wananchi kuwapa wabunge wao Ubunge leo naelewa kwa nini kila mara ni watiifu kwa CCM na hasa EL akiwaita sirini na kurudi Bungeni wakiwa wana CCM na si Bunge la Nchi tena .
Wabunge wa CCM wako bungeni kwa maslahi yao binafsi, sio kwa maslahi ya wananchi waliowachagua. Vitendo vyao vinadhihirisha hivyo.