Hello Tzar Ivan the terrible are you there? Kumbe you don't need a 500 Megatone Bomb kuwatia akili baadhi ya viongozi wa Continental Europe wanao buruzwa ovyo na Uncle SAM kufanya mazoezi ya kivita wakiwazuga kwamba Russians are coming - madai ambayo hayana ukweli wowote zaidi ya kutafuta kisingizio cha kufuja tax payers' money badala ya kufanya biashara na China, Urusi, Thailand, India na Iran EU wanapoteza muda chasing shadows.
Juzi hapa train kutoka China iliwasili Warsaw Poland imesheeni ma container! Ndiyo hivyo tena silk road is no longer a pipe dream ina take shape faster than you think, shinikizo la Uncle SAM la kutaka ku undermine silk road limeshindikana, kibaya zaidi kuondoka kwa Uingereza kwenye Ushirika wa Ulaya umeshitua sana Obama's Administration wanajua njama zao za kutaka kuwawekea a monkey wrentch Wachina na Warusi wasishirikiane kibiashara na wenzao wa Ulaya linaelekea kishidwa vibaya sana.
Wakumbuke kwamba bara la Ulaya si backyard ya Mayankee, Eurasian countries zitashirikiana kiuchumi na kibiashara kwa manufaa ya raia wake bila ya kujali Amerika inasema nini/maoni gani.