Ufaransa imekasirishwa na mwenendo wa Marekani kuhusu Niger

Zacht

JF-Expert Member
Jul 17, 2020
1,009
2,197
Gazeti la kila siku la Ufaransa 'Le Figaro' liliripoti ya kwamba Marekani "imefanya kinyume kabisa na kile tulichofikiri wangefanya.

Paris inahofia kwamba Washington inaweza kufikia makubaliano na serikali ya kijeshi ya Niger nyuma ya Ufaransa,wasiwasi umetanda ya kwamba Kuna uwezekano wa Marekani kudhohofisha maslahi yao huko West Africa.

katika hali hiyo Marekani inadumisha ushirikiano wake na Niger kwa kumtuma balozi wake mpya nchini Niger, Kathleen FitzGibbon, ambaye anatazamiwa kuwasili Niamey hivi karibuni, kama ilivyothibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje.

Hatua hii ni ishara tosha ya nia ya Marekani ya kuendelea kujihusisha na kile kinachoendelea nchini Niger.

Kitendo hicho kimemkasirisha Macron na amekitafsiri kama ni usaliti wa kiushirika ambapo amesema.

"Marekani imeisaliti Ufaransa nchini Niger, na haikusema kwamba kilichotokea Niger ni mapinduzi, na sasa inamteua balozi wake."

Uhusiano kati Marekani na ufarasa kwa siku za hivi karibuni umeonekana hauko sawa ,na Marekani ameonyesha Nia ya kutokumuunga mkono Macron kitu ambacho kina tishia maslahi yake Niger.
IMG_20230817_145730.jpg
 
German na Ufaransa kitaaambo wanataka NATO yao nje na USA.

Hata hii SMO pale Ukraine walionekana wazi hawaelewani.

Hili lililopo halijaja Kwa bahati mbaya.

Wameambiwa waachane na nishati ya Urusi wakaingia kichwa kichwa na mbadala hawana,Macron kama kaliona Hilo ni hatua nzuri,muda ushapita
20230131_172156.jpg
 
Gazeti la kila siku la Ufaransa 'Le Figaro' liliripoti ya kwamba Marekani "imefanya kinyume kabisa na kile tulichofikiri wangefanya.

Paris inahofia kwamba Washington inaweza kufikia makubaliano na serikali ya kijeshi ya Niger nyuma ya Ufaransa,wasiwasi umetanda ya kwamba Kuna uwezekano wa Marekani kudhohofisha maslahi yao huko West Africa.

katika hali hiyo Marekani inadumisha ushirikiano wake na Niger kwa kumtuma balozi wake mpya nchini Niger, Kathleen FitzGibbon, ambaye anatazamiwa kuwasili Niamey hivi karibuni, kama ilivyothibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje.

Hatua hii ni ishara tosha ya nia ya Marekani ya kuendelea kujihusisha na kile kinachoendelea nchini Niger.

Kitendo hicho kimemkasirisha Macron na amekitafsiri kama ni usaliti wa kiushirika ambapo amesema.

"Marekani imeisaliti Ufaransa nchini Niger, na haikusema kwamba kilichotokea Niger ni mapinduzi, na sasa inamteua balozi wake."

Uhusiano kati Marekani na ufarasa kwa siku za hivi karibuni umeonekana hauko sawa ,na Marekani ameonyesha Nia ya kutokumuunga mkono Macron kitu ambacho kina tishia maslahi yake Niger.
View attachment 2719847
Macron hakusaidia Ukraine majibu ndio kapata while aliambiwa Mrusi sio akaona yeye hataki kuelewa sasa amepelkwa kibla why asivurugukiwe
 
Gazeti la kila siku la Ufaransa 'Le Figaro' liliripoti ya kwamba Marekani "imefanya kinyume kabisa na kile tulichofikiri wangefanya.

Paris inahofia kwamba Washington inaweza kufikia makubaliano na serikali ya kijeshi ya Niger nyuma ya Ufaransa,wasiwasi umetanda ya kwamba Kuna uwezekano wa Marekani kudhohofisha maslahi yao huko West Africa.

katika hali hiyo Marekani inadumisha ushirikiano wake na Niger kwa kumtuma balozi wake mpya nchini Niger, Kathleen FitzGibbon, ambaye anatazamiwa kuwasili Niamey hivi karibuni, kama ilivyothibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje.

Hatua hii ni ishara tosha ya nia ya Marekani ya kuendelea kujihusisha na kile kinachoendelea nchini Niger.

Kitendo hicho kimemkasirisha Macron na amekitafsiri kama ni usaliti wa kiushirika ambapo amesema.

"Marekani imeisaliti Ufaransa nchini Niger, na haikusema kwamba kilichotokea Niger ni mapinduzi, na sasa inamteua balozi wake."

Uhusiano kati Marekani na ufarasa kwa siku za hivi karibuni umeonekana hauko sawa ,na Marekani ameonyesha Nia ya kutokumuunga mkono Macron kitu ambacho kina tishia maslahi yake Niger.
View attachment 2719847
Haya ndio madhara ya kijana mdogo kuoa wazeee. Pole Raisi wa Ufaransa Macron
 
Gazeti la kila siku la Ufaransa 'Le Figaro' liliripoti ya kwamba Marekani "imefanya kinyume kabisa na kile tulichofikiri wangefanya.

Paris inahofia kwamba Washington inaweza kufikia makubaliano na serikali ya kijeshi ya Niger nyuma ya Ufaransa,wasiwasi umetanda ya kwamba Kuna uwezekano wa Marekani kudhohofisha maslahi yao huko West Africa.

katika hali hiyo Marekani inadumisha ushirikiano wake na Niger kwa kumtuma balozi wake mpya nchini Niger, Kathleen FitzGibbon, ambaye anatazamiwa kuwasili Niamey hivi karibuni, kama ilivyothibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje.

Hatua hii ni ishara tosha ya nia ya Marekani ya kuendelea kujihusisha na kile kinachoendelea nchini Niger.

Kitendo hicho kimemkasirisha Macron na amekitafsiri kama ni usaliti wa kiushirika ambapo amesema.

"Marekani imeisaliti Ufaransa nchini Niger, na haikusema kwamba kilichotokea Niger ni mapinduzi, na sasa inamteua balozi wake."

Uhusiano kati Marekani na ufarasa kwa siku za hivi karibuni umeonekana hauko sawa ,na Marekani ameonyesha Nia ya kutokumuunga mkono Macron kitu ambacho kina tishia maslahi yake Niger.
View attachment 2719847
Hizo unrest anazozitengeneza Ufaransa katika nchi za kiafrika zimekuwa za kipumbavu sana katika dunia hii ya utandawazi
 
Huyo ndio Mmarekani siku zote anaangalia upepo unapoelekea na hapo kishaona akiside na mfaransa atawekwa kwenye kundi moja la maadui wa Africa ukichukulia bado historia ya mauaji ya Gaddafi na uharibifu wa Libya haijafutika vichwani mwa waafrica walio wengi.
Na hali ilivyo nchi za kiafrica zinaiamini Russia na zinaichukulia kama hero wa kuilinda Africa so hapo US ameona akifanya mchezo Niger itakua na Russia hapo kwa vyovyote imebidi tu amkatae Mfaransa kiaina.
Na kitu ambacho France anatakiwa kuelewa ni kwamba nyakati zimebadilika inabidi na wao wabadilike.
 
Back
Top Bottom