Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Nimepata malalamiko kutoka kwa dada mmoja ninayeuza naye samaki hapa soko la Mabatini.
Analalamika kuwa kwenye simu yake mumewe akiwaita wanaume wenzie majina tata, dear, darling, sweetheart, honey etc.
Je hii imekaeje wadau? Je mdada afanyeje?
Analalamika kuwa kwenye simu yake mumewe akiwaita wanaume wenzie majina tata, dear, darling, sweetheart, honey etc.
Je hii imekaeje wadau? Je mdada afanyeje?