Superfly
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 965
- 1,966
Habari za muda huu wakuu?
Katika harakati za maisha tumekua tukipitia mambo mbalimbali na vikwazo kadha wakadha pale tunapojaribu kufanikisha jambo fulani.
Sasa kuna hiki kitu kinaitwa "kukata tamaa" hiki kitu hua kinatukuta wengi sana, unakuta unafanya hv na vile lakin mambo hayakai sawa kabisa.
Unajisemea kimya kimya "siwez kata tamaa, ntapambana" lakin moyo tayari unakua usha-give up kabisa..
Swali ni: Je unaweza kutumia mbinu ipi ili kukabiliana na hali kama hii ili upate nguvu mpya ya kupambana na kusonga mbele?
Karibuni wadau.
======================
14 June 2022
Imepita takriban miaka miwili tangu tumeijadili Topic hii, na mchango wenu umeweza kuwa msaada mkubwa sana kwangu, kila nlipokua naona nakwama na kuvunjika Moyo, nlikua narudi hapa kujikumbusha mambo kadhaa, Napata nguvu mpya, kisha naendelea na Mapambano!
MUNGU ni mwema sku zote Maisha yanaendelea,
Tuzidi kupambania "Good life"
Katika harakati za maisha tumekua tukipitia mambo mbalimbali na vikwazo kadha wakadha pale tunapojaribu kufanikisha jambo fulani.
Sasa kuna hiki kitu kinaitwa "kukata tamaa" hiki kitu hua kinatukuta wengi sana, unakuta unafanya hv na vile lakin mambo hayakai sawa kabisa.
Unajisemea kimya kimya "siwez kata tamaa, ntapambana" lakin moyo tayari unakua usha-give up kabisa..
Swali ni: Je unaweza kutumia mbinu ipi ili kukabiliana na hali kama hii ili upate nguvu mpya ya kupambana na kusonga mbele?
Karibuni wadau.
======================
14 June 2022
Imepita takriban miaka miwili tangu tumeijadili Topic hii, na mchango wenu umeweza kuwa msaada mkubwa sana kwangu, kila nlipokua naona nakwama na kuvunjika Moyo, nlikua narudi hapa kujikumbusha mambo kadhaa, Napata nguvu mpya, kisha naendelea na Mapambano!
MUNGU ni mwema sku zote Maisha yanaendelea,
Tuzidi kupambania "Good life"