Marehemu hana chake tena hapo.. Huo mziki ulimkusudia mtu mwingine kabisa..hapo palitumika tu kama kiwanja cha kutekeleza watakayoshukrani sana kwa taalifa sasa huyo mtu alie tengenezwa ni uyo alie kufa au wanatumia kaburi kutengenezea wtu wengine bila ya kuhusika kwa marehemu
Hakuna shida kabisa wekeni mwingine
Marehemu hana chake tena hapo.. Huo mziki ulimkusudia mtu mwingine kabisa..hapo palitumika tu kama kiwanja cha kutekeleza watakayo
Tumia tiba rahisi sana ya kuogea chumvi ya mabonge... Tiba hii haina maagano, haina viapo, haina kafara, haina gharama na matokeo yake ni makubwa navya hakika
Jamaa walinifungia nyota, mali, heshima, elimu, ndoa, n.k. Lakini Mungu si athumani elimu niliipata ingawa kwa taabu sana mfano kila ilipokaribia fina examination lazima nikalazwe sometimes kufanyiwa upasuaji hii ilijitokeza kuanzia O' level, A' level na chuo kikuu ni kuumwa hadi kazini hadi sasa hadi dunia imekuwa chungu. cjui ni lini haya yata kwisha
Mwili unasisimuka MkuuView attachment 456961
Soma hiyo hapo utafunuliwa mengi...yote yafanyikayo chini ya mbingu hayatoki mbali tunayo kila siku kila saa kila dakika
Mkuu nielekeze njia raisi ya kuingiza dark webHaya bana ngoja nikafatilie kiundani zaidi kwenye dark web
Michoro hii nikilinganisha na maelezo naisi tofauti sana mwili mwanguPole kwanini lakini
ASA kama hukutaka kuelewa zaid ujue bado haujautendea haki ubongo wako kaka ,,vyote vilivyopo duniani ni zao letu sisi wenyewe so hakuna mipaka ya kufikiri ,,wengi wameleta makubwa kwenye dunia kwa kutoka nje ya boxNdio maana sikutaka kabisa kuingia kwenye utengenezaji wake...hata hii law of attraction ni mule mule
OK sawa nimekuelewaASA kama hukutaka kuelewa zaid ujue bado haujautendea haki ubongo wako kaka ,,vyote vilivyopo duniani ni zao letu sisi wenyewe so hakuna mipaka ya kufikiri ,,wengi wameleta makubwa kwenye dunia kwa kutoka nje ya box
Naunga mkono hoja! Mshana JrWe jamaa bhana! Yaani ishu zako ni fusho, kupigana misumari, na kuwekeana password.
Ningefurahi kukuona ukija na way out kwa watu ambao tayari wameathirika na uchawi na ukawapa namna ya kuweza kuunlock hizo password walizopigwa baada ya kutuintroduce kwenye uchawi mpya.