As always mdogo wangu.!😊Ubuyu wa leo mtamuee.. 🤗🤗🤗
Nakukubali sana mkuu... Kuna mahali tutafika mikanganyiko itazidi ila tusikate utamu wa goma kwanza....Penguin missile conspiracy... Umenikumbusha mbali sana mkuu kwa hii story
Hii bwana bila kupepesa macho aliuawa na CIA kwa kushirikiana na Norwegian Intelligence.. Kwa sababu inaaminika alikuwa ni from KGB akichunguza Penguin missile..
Kalete vitu.Mkuu usiwaze... Tupo pamoja
Mkuu usiwaze... Tupo pamoja
Kusoma hakuishii kusoma tuu Kuna kitu unatakiwa uondoke nacho kwa matumizi ya baadae so unavyoleta kipisi kipisi unawavunja moyo wale wanaokutaga ma insha na kuyaacha ukikuta amejitahid kusoma alafu akakuta hvyo ndo unazid kuongeza ujinga kwa watanzania wenzako au nawe ndo wale mnaotokea baada kuvuka mto kagera kule mbele kidogo?
Ms. A.C ???A.C... Keep calm