Litvinienko
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 313
- 105
Hatari hiiinashangaza kuwa jambo hili lilitokea tarehe 26.6 lakini polisi hawakutoa taarifa hadi juzi. kwa hiyo mtu huyo hakuja kutubu bali kueleza na wao wakaona si watu muafaka wa kuelezwa. Kama alikuwa na nia ya kutubu hakueleza na pia kwanini aje kanisa hili? Je, kwanini hakwenda kwao kutubu kenya?
Jumapili iliyopita niliongoza waumini kulaani waliomteka Dr Ulimboka, tukalaani serikali kwa kushindwa kuchukua hatua na pia madaktari kwa vifo vilivyotokea
Ulimboka alitekwa lini vile?
Juni 30?
au nimekosea?
God is Great."Those who invent a lie against God will never prosper"
Tunaomba utupe yaliyo ya kweli na hakika siasa weka pembeni
MMeshaumbuliwa,Wakatoliki wameingiaje kwenye mahubiri yasiyowahusu ni uchokozi
Kwani humjui shangazi yake Ritz huyowewe nae tulia acha kiherehere
Walinzi baada ya kuona huyu ni mhalifu ambaye labda ametumwa au alikuwa na nia ya kufanya uhalifu wakapeleka polisi. Jambo hili liibuka tarehe 26.6 na wala si juzi. Baada ya kumpeleka polisi wakamwacha pale na hawakufuatilia tena
Kwani humjui shangazi yake Ritz huyo
asikupe tabu
akakiri?Baada ya kumfikisha polisi na kueleza kilichotokea mtu huyo akakiri ni kweli amesema alihusika na kumtesa Ulimboka. Polisi wa Kawe wakampeleka Osterbay na kanisa halikufuatilia tena. Wiki mbili zilivyopita ndio walinzi waliokuwa wamemkamata ili kutoa maelezo
Wakatoliki wameingiaje kwenye mahubiri yasiyowahusu ni uchokozi
Hayo ndo maswali tunayotaka majibu yake. Hivi huyo mchungaji hawezi kuongea na waandishi wa habari baada ya ibada waweze kuuliza maswali kama hayo labda anaweza kuwa na mwanga kidogo. Dr. alitekwa lini?inashangaza kuwa jambo hili lilitokea tarehe 26.6 lakini polisi hawakutoa taarifa hadi juzi. kwa hiyo mtu huyo hakuja kutubu bali kueleza na wao wakaona si watu muafaka wa kuelezwa. Kama alikuwa na nia ya kutubu hakueleza na pia kwanini aje kanisa hili? Je, kwanini hakwenda kwao kutubu kenya?
mods naomba muunganishe hizi updates
inashangaza kuwa jambo hili lilitokea tarehe 26.6 lakini polisi hawakutoa taarifa hadi juzi. kwa hiyo mtu huyo hakuja kutubu bali kueleza na wao wakaona si watu muafaka wa kuelezwa. Kama alikuwa na nia ya kutubu hakueleza na pia kwanini aje kanisa hili? Je, kwanini hakwenda kwao kutubu kenya?