Kova ana akili ndogo sana ndio maana anaburuzwa tu na magamba yaani haoni hilo kwamba kama ni kukosea kaanza yeyeMbona na yeye Kova aliliongelea wakati Mshitakiwa alishapelekwa Mahakamani,atoe uCCM wake
Kova ana akili ndogo sana ndio maana anaburuzwa tu na magamba yaani haoni hilo kwamba kama ni kukosea kaanza yeyeMbona na yeye Kova aliliongelea wakati Mshitakiwa alishapelekwa Mahakamani,atoe uCCM wake
jina liko mahakamani pia, haitakiwi kuzungumzwa nje ya mahakama!
Sidhani kama jamaa anaweza kukubali kufanya hayo mnayotaka maana kituo chake ni pale Central ofisini kwa Kova, nahisi akianza kutafuta hayo anaweza kushutukiwa. Lakini hata hii aliyoitoa ikiwa publicised itatosha tu kuwaonesha serikali na mawakala wao vyombo vya usalama kwamba siku ya kufa nyani imefika, kwa hiyo kila mti wanaoushika unateleza tuHebu mwombe huyo CID akupatie jina lake huyo mwanausalama mkenya Gitu Muhindi aliyeshukiwa na roho ya upako wa Gwajima hivi karibuni. Ikiwezekana atafute na picha yake utuwekee humu ndani. Kama anajulikana sana kama ulivyosema (according to your source), lazima kutakuwa na picha yake walau moja hapa au pale katika maisha yake ya kawaida au ya kazi kabla ya kuanza LEADERS CLUB-MABWEPANDE MISSION. Tukiwa na picha yake, basi hata wale walinzi wa kanisa la Ufufuo na Uzima pamoja na Dr. Ulimboka mwenyewe watatusaidia kwenye 'gwaride la utambuzi' kujua kama mtu huyo ndiye au la!
Hii imetoka kwa askari polisi wa upelelezi yaani CID, kuwa jamaa aliyekamatwa akidaiwa kwenda kutubu kanisa la ufufuo na uzima ni ofisa wa usalama wa taifa anajulikana sana. Na ndiyo maana mpaka leo hajawahi kupigwa picha, na hata mahakamani alipelekwa kimya kimya, lengo likiwa ni lile alilolitaja jana Kova kwamba suala hilo lisiongelewe kwa sababu lipo mahakamani. WanaJF hii ni sana kweli huyo jamaa ni mtu wao
Jina lililoko mahakamani ni lile tulilotajiwa sijui nani Gitu Muhindi (sijui kwa nini hawakusema mkenya?). Jina lake la ukweli haliko mahakamani. Kwa maana hii si ajabu hata hukumu ikitolewa itakuwa geresha tu na atakwenda jela mtu mwingine tu...that is, assuming huyo mtu kweli yupo na amepelekwa mahakamani kama tunavyoambiwa.
Jina lililoko mahakamani ni lile tulilotajiwa sijui nani Gitu Muhindi (sijui kwa nini hawakusema mkenya?). Jina lake la ukweli haliko mahakamani. Kwa maana hii si ajabu hata hukumu ikitolewa itakuwa geresha tu na atakwenda jela mtu mwingine tu...that is, assuming huyo mtu kweli yupo na amepelekwa mahakamani kama tunavyoambiwa.
Suala sio kama unavyojaribu kupotosha Mama Porojo, suala ni kwamba huyu mtu anatambulika sana na aliyesema hivyo ni askari polisi wa upelelezi au CID. Au nikupe mfano, miaka ya 1990 mwisho waliwahi kuja vichaa wawili wakitaka kuombewa kanisani kwa Kakobe. Kwasababu Mchungaji Kakobe ana roho wa Mungu aliwatambua na kuangizwa waingizwe ofisi za kuchungaji. Baada ya hapo aliwafokea kwamba mnaweza kumpleleza Mungu? Akawaambia naweza kuomba sasa hivi mkafa. Wale jamaa walianza kutetemeka na kichaa kiliwaisha hapohapo, na alipowaambia wapotee mara moja walikimbia bila ya kuwa na kichaa wala nini. Kwa hiyo hizo ni mbinu zao wanazotumiasubira yavuta heri speculatins zitakuwa nyingi ili mradi kuanzisha thread kutokana na lile tunalofikiri kichwani.
haingii akilini kwamba mtu akiwa kama kichaa na ambaye hakuonyeshwa na TV au kapelekewa kimya kimya mahakamani ni Usalama wa Taifa.
Je mambo matatu tu kwamba alikwenda kanisani kama kichaa, hakuonyeshwa na Tv na kapelekwa kimya kimya mahakamani yanatosha kusema ni mtu wa TISS.
Ni wangapi wanapita kwenye njia hiyo hadi mahakamani hatujasema ni Usalama wa taifa???
Mahakama zetu zimekuwasitu wa mabwepande