Tafadhali watalaam kuna hii taatifa
January 14, 2020, is the date that the US firm has set for the big change and the advice for anyone using Windows 7 is to upgrade as soon as possible to avoid and cyber issues in the future. "
Pamoja na kuacha kuihudumia windows 7 kama nilivyoelewa mimi.
Mi naipenda sana win 7 sasa je kwa matumizi yetu ya kawaida kufanya music na Cubase na Video Editing na matumizi ya kawaida tu nitaathirika vipi au ni kukosa drivers za ku download ? inanichanganya naomba wenye ujuzi na hii kitu watusaidie
Nawasilisha
January 14, 2020, is the date that the US firm has set for the big change and the advice for anyone using Windows 7 is to upgrade as soon as possible to avoid and cyber issues in the future. "
Pamoja na kuacha kuihudumia windows 7 kama nilivyoelewa mimi.
Mi naipenda sana win 7 sasa je kwa matumizi yetu ya kawaida kufanya music na Cubase na Video Editing na matumizi ya kawaida tu nitaathirika vipi au ni kukosa drivers za ku download ? inanichanganya naomba wenye ujuzi na hii kitu watusaidie
Nawasilisha