TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
- Thread starter
- #21
wadau!!!! Saidi kulwa na mami mimi nipo very objective katika hii ishu situmii past informations wala speculations kutoa acccusations natumia simple facts tu wakuu,
tatizo watu mnamjudge anna from cdm point of view na kubase on the past encounters.
Ngoja nitoe mtazamo wangu kuadress your past doubts said kulwa
tukianza na tuhuma ya uchambo. Ni kweli anna alileta mtikisiko na zile tuhuma alizomwaga na alikuwa na mushkeli kwelikweli ila jambo ambalo nyinyi wagumu kulielewa ni kuwa anna ni mpambanaji ila ni mwanachama wa chama, na bila chama anna hana kitu. Lazima tukubali siasa za bongo chama kwanza, msimamo binafsi baadae, sasa anna inawezekana alichimbwa biti na chama, akaamua ku save herself to die another day! Simply angeendela kuleta kibri wangemtoa, na bila ubunge na ccm nani angemsikia tena ana? She made a smart move kuaknowledge things arent right bt time to fight is not right either! Na kukosa timing ndo kumewamaliza kafulila, hamad rashid, mpendazoe na ndo kunanyemelea kumpoteza zito. I bet u zito atanyamaza tu kwenye hili soo la saa! He is smart. Je ni bora mpambanaji alinyamazishwa au mtu asieona umuhimu wa mapambano????
Ana ni mpambanaji na ameonesha kipaji sasa mkimuona kobe kainama mjue anatunga sheria, she will rise again watch and see! Siasa za chama nyie hamzijui ukicheza tu u will be reduced to nothing and you will remain silent forever no matter how much you yelll! Wangapi mnamsikia mpendazoe sasa?
Kurudi kwenye uchaguzi lets be objective (no haiting! No negativity)
sofia keshaongoza mda wake, awaachie wengine sio kujibinafsishia umoja kama mesi alivojibinafsishia tuzo ya mchezaji bora.
If she runs again its fine ila wapambe muaccount alichofanya na atakachofanya sio kuponda watu
kbwa zaidi ni rahisi kumuevaluate mtu ambaye utendaji wake umeonekana, kuliko kumjudge mtu kwa past yake ambayo haihusiani na hicho cheo thats judging and isnt fare
swala hapa sio kashaongoza fulani tumuachie mwenzie...swala hapa ni nani anauwezo wa kuongoza...umeambiwa kuwa anna ni chambo na umekubali sasa unataka wanawake wa uwt waongozwe na chambo ambacho saa na dakika yoyote kina ufyata?...angalia vizuri mkuu, ningekuwa mimi ndio mshauri wa anna ningemshauri amuunge mkono sophia simba manake keep on mind siasa za ndani ya chama huwaga pia na impact ktk nchi sasa akishindwa uchaguzi huu basi awe tayari kushindwa uchaguzi mkuu ujao wa nchi...uenyekiti wa uwt sio sehemu ya kujaribiana...kama ingekuwa ukiongoza mara moja unamwachia mwenzio basi kikwete asingegombea angemwachia tu dokta slaa