Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 186
Naziona team zote za England robo fainali
....isipokuwa timu ya comrade Belo.......!
Naziona team zote za England robo fainali
mkuu kipindi hicho hapo ndio tutajua fatigue ni nini,hapa ndio wenger anapo changanyikiwa mwisho wake analikoroga kabisa.na safiri hii kipindi tunacheza na porto ndio weekends tunakutana na zile mechi nne kali tulizopangiwa.hapa ndio umuhimu wa depth ya squad kama mimi wenger ningeongeza hata wacheza wawili au watatu.....isipokuwa timu ya comrade Belo.......!
milan vs man united mechi kali lakini man united watapita tu.
nakumbuka lakini bado nafikiri wanaweza kupita.Unakumbuka last season walitolewa nyongo na wazee wa Sansiro?
Milan alishawahi kumpiga Manure nyumbani 1-0 na ugenini 1-0 magoli yote yakifungwa na Hernan Crespo.
Ktk mechi hizi mbili kiungo Manuel Cesar Rui-costa alikuwa tatizo lisilosuluhika kwa timu ya manchester....
Pia milan akaja kutana na manure tena na old trafold man alishinda 3-2 kwa taaaabu huku magoli ya Milan yakifungwa Ricardo Kaka.
Cha kushangaza ktk mechi hii mpira ulipokwisha pmj na kufungwa wachezaji wa Rosonelli waliondoka huku wanakumbatiana na kupongezana kwa furaha.
Ile hali wachezaji wa manure walioshinda waliondoka vichwa chini huku kocha wao sir Alex akiwa mwekundu na machozi yakimlenga lenga...
KWA NINI ILIKUWA HIVI...
Ni wazi kuwa wachezaji, kocha na washabiki wenye utimamu wa akili walishajua kuwa pmj na ushindi lakini wameshatoka kwani iliwalazimu kusafiri kuelekea carvary Sansiro ama machinjioni.
Ambako matokeo yake walikula goli 3-0 na kutupwa nje ya mashindano.
Magoli ya milan yaliwekwa kimiani na Kaka, Seerdolf na mshambuliaji alberto gilardino.
Hivyo ni wazi kuwa Manchester kwa AC Milan ni kama ........... kwa ...............
Forza Milan
Tatizo sio Milan wamechoka ,historia ni mmbaya kwa Man U dhidi ya Milan.Ni sawa na Madrid akikutana na Juventus
Kiwango kaka, kiwangoooooo........,
hiyo milan unayoizungumzia ilikuwa iko juu sana, milan ya sasahivi imechooooka,
we unadhani kiwango cha beckham, dinho na seerdorf miaka mitatu iliyopita ni sawa na sasahivi?
we subri uone mani yuu itakavyoisulubu milan kuanzia san siro na hatimaye kuja kumaliza kazi old trafodish.
halafu baada ya hapo mani yuu wanawasubiri ze ganaz robo fainali!!!!!
naona mzee unacheza mpira kwenye key-board!utakuwa arsenal wewe!😀na tuliwaonyesha kuwa Milan sio kama mnavyoi judge iliweza kuibamiza goli 3 klabu ambayo mnaipa heshima ya juu eti tu kisa imefanya usajili wa mamilioni ya pesa na kukusanya kila aina ya nyota.
Na ukumbuke kipigo hicho kilitokea el santiago bernabeu pale pale.
Na hao konokono wote walikuwepo.,,
Sforza Milan
http://www.uefa.com/competitions/ucl/index.htmlNimesikia draw inafanyika leo. Mwenye details plz...
sawa sawa!akhahahah..akhenato na uswazii...IPO KAZI MZAZIIII....maneno mengi hayana faida...kama kweli wao wavuvi...tukutane mwambani...MAN U..forever