changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,587
- 9,179
Atalanta alianza vibaya sana kwenye group stage walipigwa tano na Man city, na pia walipigwa mechi tatu mfululizo. Lakini wakabadilika na sasa wanaonekana moja ya timu yenye mpira wa kuvutia sana.Watu waliidharau sana atalanta lakini hadi sasa valencia ndio timu yenye hali mbaya zaidi kuiona robo fainali. sijui pengine atapindua meza kibabe kwenye mechi ya marudiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app