Yanga Club bora ya wiki CAF Champions League

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,838
38,729
Timu ya Wananchi Yanga imeibuka washindi wa timu bora ya wiki kwenye michuano ya CAF CHAMPION LEAGUE raundi ya Pili.

Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania Yanga wakipata asilimia 63%ya kura.Upigaji wa kura ulifanyika kwenye mtandao wa X na Facebook.

π™’π˜Όπ™‰π˜Όπ™‰π˜Ύπ™ƒπ™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„

#TotalEnergiesCAFCL #CAFCL
FB_IMG_16952905157134132.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ya Wananchi Yanga imeibuka washindi wa timu bora ya wiki kwenye michuano ya CAF CHAMPION LEAGUE raundi ya Pili.

Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania Yanga wakipata asilimia 63%ya kura.Upigaji wa kura ulifanyika kwenye mtandao wa X na Facebook.

π™’π˜Όπ™‰π˜Όπ™‰π˜Ύπ™ƒπ™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„

#TotalEnergiesCAFCL #CAFCLView attachment 2756945

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka watu watayaita mma.
 
Enzi zenu mpo bize na Mwinyi Zahera mnatembeza bakuli mitaani. mlikuwa mnasema haya mambo hayana maana!!
 
Timu ya Wananchi Yanga imeibuka washindi wa timu bora ya wiki kwenye michuano ya CAF CHAMPION LEAGUE raundi ya Pili.

Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania Yanga wakipata asilimia 63%ya kura.Upigaji wa kura ulifanyika kwenye mtandao wa X na Facebook.

π™’π˜Όπ™‰π˜Όπ™‰π˜Ύπ™ƒπ™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„π™„

#TotalEnergiesCAFCL #CAFCLView attachment 2756945

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera zao utopolo
 
Back
Top Bottom