Tuijadili sheria za CAF, Wydad akishinda mechi zote, Simba akidraw moja

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Wakuu hii ni document kwenye website ya CAF imefafanua, hebu tuijadili hii sheria.

Wydad amebakiza mechi 2 akishinda zote anakuwa na points 9
Simba amebakiza mechi mbili, akishinda 1 na draw moja atakuwa na points 9 pia.

Sasa tuangalie sheria inasemaje hii document nimetoa kwenye website ya CAF kuhusu group stage.

Nilivyoelewa mimi points zikilingana wataangalia idadi ya magoli waliyofunga,yakilingana wataangalia timu ambayo haijaruhusu magoli mengi, wakilingana pia ndo wataangalia goli mwenye magoli mengi hizo timu zilipokutana au timu yenye goli bora kwenye hizo mechi.

Naomba tusaidiane kutafsiri hii sheria hapa chini.

Screenshot_2023-12-19-23-14-25-811~3.jpg


Screenshot_2023-12-19-23-14-25-811~4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la heri "wananchi" kesho!! Mlitutakia mabaya sisi tunawatakia mema!!

CC Nalia Ngwena, Laban og, Chizi maarifa, et al!!
 
Wakuu hii ni document kwenye website ya CAF imefafanua, hebu tuijadili hii sheria.

Wydad amebakiza mechi 2 akishinda zote anakuwa na points 9
Simba amebakiza mechi mbili, akishinda 1 na draw moja atakuwa na points 9 pia.

Sasa tuangalie sheria inasemaje hii document nimetoa kwenye website ya CAF kuhusu group stage.

Nilivyoelewa mimi points zikilingana wataangalia idadi ya magoli waliyofunga,yakilingana wataangalia timu ambayo haijaruhusu magoli mengi, wakilingana pia ndo wataangalia goli mwenye magoli mengi hizo timu zilipokutana au timu yenye goli bora kwenye hizo mechi.

Naomba tusaidiane kutafsiri hii sheria hapa chini.

View attachment 2847562

View attachment 2847563

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajadili kitu kinchojulikana points zikilingana H2H ndio inaamua kwanza mashindano yote ya CAF na uzingatie goli la ugenini kwenye H2H,kama H2H mko sawa Goal difference,mkilingana Goal scored ,mkilingana Goal conceded,mkilingana idadi ya kadi inaamua (nidhamu).
 
Back
Top Bottom