Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Wakuu hii ni document kwenye website ya CAF imefafanua, hebu tuijadili hii sheria.
Wydad amebakiza mechi 2 akishinda zote anakuwa na points 9
Simba amebakiza mechi mbili, akishinda 1 na draw moja atakuwa na points 9 pia.
Sasa tuangalie sheria inasemaje hii document nimetoa kwenye website ya CAF kuhusu group stage.
Nilivyoelewa mimi points zikilingana wataangalia idadi ya magoli waliyofunga,yakilingana wataangalia timu ambayo haijaruhusu magoli mengi, wakilingana pia ndo wataangalia goli mwenye magoli mengi hizo timu zilipokutana au timu yenye goli bora kwenye hizo mechi.
Naomba tusaidiane kutafsiri hii sheria hapa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wydad amebakiza mechi 2 akishinda zote anakuwa na points 9
Simba amebakiza mechi mbili, akishinda 1 na draw moja atakuwa na points 9 pia.
Sasa tuangalie sheria inasemaje hii document nimetoa kwenye website ya CAF kuhusu group stage.
Nilivyoelewa mimi points zikilingana wataangalia idadi ya magoli waliyofunga,yakilingana wataangalia timu ambayo haijaruhusu magoli mengi, wakilingana pia ndo wataangalia goli mwenye magoli mengi hizo timu zilipokutana au timu yenye goli bora kwenye hizo mechi.
Naomba tusaidiane kutafsiri hii sheria hapa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app