bhakamu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 770
- 721
Tukutane 8 bora realmsdrid, liverpool , Valencia, spurs, Munich, barca juventus , psg
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Liver awe makini mno maana hao atletico wazuri wa kutafuta draw away na ushindi wa 1-0 home,so liver asiruhusu kufungwa kabisa au goli akiwa away maana hao watafungwa kwa goal difference ndogo mno pale An field maana ndo tabia yao wanapokuwa awayMancity watapigwa nje ndani chelsea pia atapigwa nje ndani. toternham na liverpool wanaenda robo fainali tena msimu huu kuungana na juve psg barcelona, na valencia. natabiri tu wakuu. ila bado sijaona timu ya kumzuia liver kuchukua tena kama hawatapata majeruhi.
Liver kapewa timu ngumu mno maana kocha wake anacheza mpira wa kujilinda mno tofauti na Madrid ambao ingekuwa simple Liver kumtoa maana Madrid anafunguka mnoLiverpool na barca ni kupita bila kupingwa..
japo nilitaka liver watupngie Madrid tulipize. ila wametupa ndugu ake.. sio mbaya
Hakuna timu ya kuizuia liver pale , labda wapate majeruh,Liver awe makini mno maana hao atletico wazuri wa kutafuta draw away na ushindi wa 1-0 home,so liver asiruhusu kufungwa kabisa au goli akiwa away maana hao watafungwa kwa goal difference ndogo mno pale An field maana ndo tabia yao wanapokuwa away
Sent using Jamii Forums mobile app
atletico hii ya sasa sio ile tunayoijua.. hii ni amateur mnooLiver kapewa timu ngumu mno maana kocha wake anacheza mpira wa kujilinda mno tofauti na Madrid ambao ingekuwa simple Liver kumtoa maana Madrid anafunguka mno
Sent using Jamii Forums mobile app
unaijua anfield ama unaiskia??Liver awe makini mno maana hao atletico wazuri wa kutafuta draw away na ushindi wa 1-0 home,so liver asiruhusu kufungwa kabisa au goli akiwa away maana hao watafungwa kwa goal difference ndogo mno pale An field maana ndo tabia yao wanapokuwa away
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangewatindua tena.Liverpool na barca ni kupita bila kupingwa..
japo nilitaka liver watupngie Madrid tulipize. ila wametupa ndugu ake.. sio mbaya
usikarir kijana Liverpool ni giant akiwa UEFA..
Sioni wa kumzuia Valencia kubeba ndoo
Wewe ndio umekariri kuwa liver ni giant EUFA, ngapi katoka patupu na huo ugiant?usikarir kijana Liverpool ni giant akiwa UEFA..
Hii Napoli ya Gatuso ni nyepesi sana labda angelikuwa kocha yule yule carlo ancelotti tungesema ni mzoefuMechi ngumu apo no Napoli vs Barcelona
Kama unawajua Napoli utaelewa namaanisha nini. Hiyo ni mechi nzito sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Bingwa PSG msimu huuMmoja kati ya hawa:
Liverpool
Barcelona
Man City
Atakua bingwa wa UEFA 2019/2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, sijui nani aliokota ball ya kuangukia kwa buyern,