Nimesoma na nimeelewa na nakuelewesha kwamba Hao ni H white hat hacker ambao kazi yao kubwa ni kutafta matobo(vulnerability) kwenye system na kuziziba...kwaio ni kama hackers wengne ila walikuwa hawana lengo la kuiba pesa izo bali lengo ni kuonesha tu mfumo huo sio salama na pesa izo walizochukua walizirudisha