georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
Isije kuwa Madelu Nchemba kamchomea utambi
inaonyesha aliwadanganya wakubwa zake chuoni..
huyu Dr ni mjanja mjanja
.
cc. Ritz, FaizaFoxy, simiyu yetu.CCM ni CHAMA CHA WAISLAMU
Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu
Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam
Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu
Unastahili ushitakiwe kwa upotoshaji huu na udini uliokujaa
Mbona madc nq marc ni watumishi wa umma lakin wanafanya kaz za ccm!?na hawasimamishwi!?
kwenye namba moja! inamaana uongozi wa chuo ulimsimamisha kwa muda na baada ya uchunguzi wenda angeendelea na wadhifa wake.lakini yeye kajihudhuru moja kwa moja( permanently) hivyo hata kama itabainika hana makosa basi hawezi kurudishiwa wadhifa wake.1. ...Hizo sentensi mbili zenye red sijazielewa. Amesimamishwa na uongozi wa chuo au amejiuzuru mwenyewe?
2. Nadhani sheria inahusu mtumishi wa umma na sio mkuu wa kitivo, kwa nini anasimamishwa ukuu wa kitivo na sio utumishi?
UDSM acheni uccm je angekuwa ccm mngemvua?