1. ...Hizo sentensi mbili zenye red sijazielewa. Amesimamishwa na uongozi wa chuo au amejiuzuru mwenyewe?
2. Nadhani sheria inahusu mtumishi wa umma na sio mkuu wa kitivo, kwa nini anasimamishwa ukuu wa kitivo na sio utumishi?
Wameanza kwa kumsimamisha uongozi huku wakimchunguza. Kumsimamisha/jiuzulu ni kutoa nafasi ya uchunguzi huru. Ikibainika alidanganya kuwa yeye alijiuzulu huku akiwa bado ni kiongozi then ataandikiwa barua kujieleza na baada ya hapo hatua za kinidhamu zita hukuliwa.....
Hivyo ndivyo nilivyo elewa....
My take.... Wame kamata break za mtu ili kama kuna ya ndani zaidi basi asije mwaga mboga, na akimwaga mboga wenziwe wana mwaga ugali..,. Prisoners dilemma!
Dr. Kubali ya ishe ila jifunze uaminifu shetani hajawahi bariki utakosa bara na pwani! Ushauri tu kutoka kwa preacher.....