stressman
Member
- Jun 20, 2015
- 97
- 73
Ndo Mana Ya Batch One.Unataka Source Ikusadie Nini?We Umepewa Assignment?Itatoka Batch2 Na Jina Lako Halipo.Sio Lazima Wote Mchaguliwe Udsm.Vyuo Vipo Kama Udom,mzumbe,makumira N.K.Sio Lazima Kua Ukijaza Udsm Unapangwa.Kama Una Point Ambazo Hawazitaki Huchaguliwi.Hapa Hakuna Kubembelezana Kua Watakosa Madent.Hii Ni State University Kwa Hiyo Inapata Cream Kwanza.
Ahaaa sasa kwa mfano iktoka batch 2 itakuwa vp mana kwa nnavoyatazama hapa iyo admission inaonesha kila faculty capacity iko fully