we kaka acha utoto.!!
Ameshaweka link imekushinda kudownload!!
Je akikutumia such link kwa email utaifungua vipi? Na hapo juu imekushinda!
Taja jina uangaliziwe kama una nokia ya torch.
s0125/0618/2015
we kaka acha utoto.!!
Ameshaweka link imekushinda kudownload!!
Je akikutumia such link kwa email utaifungua vipi? Na hapo juu imekushinda!
Taja jina uangaliziwe kama una nokia ya torch.
sio textile tu hadi computer science wakoo waliopata div 4...
basi nawewe kilaza kweni chuo siwanatumia gpa piaUshasema division, now vilaza wote wanatumia gpa, pimbi wewee
Kupata merit au credit sio km mtu ndo kilaza...na ata km umepata iyo distinction sio sabb ya kujigamba km ww ndo genious...inategemea paper imekuja vp. kikoozi#
anapont ngapi
na S0125/0618/2015mkuu naomba nichekie namba hii s3688/0099/2012
s0125/0618/2015
mkuu naomba nichekie namba hii s3688/0099/2012
Ndo Mana Ya Batch One.Unataka Source Ikusadie Nini?We Umepewa Assignment?Itatoka Batch2 Na Jina Lako Halipo.Sio Lazima Wote Mchaguliwe Udsm.Vyuo Vipo Kama Udom,mzumbe,makumira N.K.Sio Lazima Kua Ukijaza Udsm Unapangwa.Kama Una Point Ambazo Hawazitaki Huchaguliwi.Hapa Hakuna Kubembelezana Kua Watakosa Madent.Hii Ni State University Kwa Hiyo Inapata Cream Kwanza.
amepta point ngapi
Kilaza ni kilaza tu ata ungempa paper ya kushade ya darasa la saba bado kilaza atafeli tuu
Ushasema division, now vilaza wote wanatumia gpa, pimbi wewee
Dah....udsm kwenye upande wa school of education wamefanya sivyo lkn yan mtu una merit ya 3.3 wanakuacha...yan mara hii ni distinction tu...sasa wenye credit wakasome wap?
merit ndio nini??
wenginw tumesoma enzi za mkoloni tunajua div 1 tu, mambo ya gpa za a level tunaona nyota tu
Yumoki naomba niangalizie mdogo wangu p0960/0585/2015wale wa BAED WALIOJAZA UDSM WAMAECHUKUA MWISHI POINT 11 NA WALE WA DUCE MWISHO WAMECHUKUA POINT 10 NA WALE WA MKWAWA MWISHO WAMECHUKUA POINT 9 NA WALE WA BSCED. UDSM WAMECHU MWISHO POINT 8 NA DUCE MWISHO POINT 7 NA MKWAWA MWISHO POINT 7 SAS KAMAPOINT ZAKO HAZIJAFIKIA HAPO NILIPOTAJA BHAS SUBIR VYUO VINGINE wakitoa