Fred Kingo
Member
- Sep 7, 2015
- 33
- 1
wakuu mwenye laptop naomba anichekie hiyo namba s3688/0099/2012
karibuni sana wadogo zangu
mnaokuja kusoma bsc chemistry mnaweza ni pm kwa ushauri zaidi niwape na madesa
wakuu naomba kujuzwa. kama batch ilotoka n ya udsm inakuaje m2 anaambiwa kangwa muce au duce? naomba ufafanuz tafadhali
niangalizie anthony daniel S1608/503/2015
nimepangiwa course gan
wametoa sababu we angalia kwa mbele
Ndo Mana Ya Batch One.Unataka Source Ikusadie Nini?We Umepewa Assignment?Itatoka Batch2 Na Jina Lako Halipo.Sio Lazima Wote Mchaguliwe Udsm.Vyuo Vipo Kama Udom,mzumbe,makumira N.K.Sio Lazima Kua Ukijaza Udsm Unapangwa.Kama Una Point Ambazo Hawazitaki Huchaguliwi.Hapa Hakuna Kubembelezana Kua Watakosa Madent.Hii Ni State University Kwa Hiyo Inapata Cream Kwanza.