UDSM Ruangwa Campus & Namungo FC vitadumu hata baada ya Majaliwa kustaafu?

UDSM Ruangwa Campus & Namungo FC vitadumu hata baada ya Majaliwa kustaafu?

Kama ilivyokuwa Katavi University of Science and Technology (KUST) vile vile Ile campus ya Mchongo kule Ruangwa inaenda kuwa nyumba ya popo! Mzee wamemtema tayari
Yale yale ya branch maarufu iliyoko nyumban kwa muasisi wa taifa hili
 
Airport ya chato na Ile bank ilijengwa Kwa mbwembwee hv Bado zinapumuaa kweliii🤔🤔

Hii nchi Kuna kipindi ataingia raisi asiyekuwa na chama HAKI atanyongaa watu hadharan Kwa ubadhirifu wa fedha za walipa kodiiii...
 
Back
Top Bottom