Hivyo tuendelee kuwasubili. Maana tuliopo mbali na chuo hata ujanja wa kusema tufike chuoni kuuliza kulikoni imekuwa hivi hatuna!IMEKAA VIZURI .INACHUKUA TWENTY FOUR HRS FOR SOMETIMES
Hivyo tuendelee kuwasubili. Maana tuliopo mbali na chuo hata ujanja wa kusema tufike chuoni kuuliza kulikoni imekuwa hivi hatuna!IMEKAA VIZURI .INACHUKUA TWENTY FOUR HRS FOR SOMETIMES
wewe ukishalipa suburi masaa 24 .inakuwa sawaHivyo tuendelee kuwasubili. Maana tuliopo mbali na chuo hata ujanja wa kusema tufike chuoni kuuliza kulikoni imekuwa hivi hatuna!
Nafikiri si kutolewa roho, bali ni kutaka kujua. Pia kuwa na uhakika kama ndivyo ilivyo au ni makosa katika ujazaji.
Mtu yupi huyo?Mwaka huu kazi ipo....mtu mmoja kakurupuka bila kuwashirikisha wadau wa elimu anaruhusu vyuo vipokee maombi...
Nawaonea huruma wadogo zangu mnaoomba vyuo mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeshasubiri zaidi ya 24hrs bila mafanikioIMEKAA VIZURI .INACHUKUA TWENTY FOUR HRS FOR SOMETIMES
Tengeneza email address mpya tu uanze upya.Ukikosea huwezi ku edit.System ya kipumbavu kabisaMbona sioni option yakuedit my profile maana nimekosea jina
Ukifungua mpya system itakujibu kuwa matokeo uliyoingiza kuna mtu kaisha yatumia. Hebu jaribu ujionee.Tengeneza email address mpya tu uanze upya.Ukikosea huwezi ku edit.System ya kipumbavu kabisa
Nilikuwa namfanyia application mtoto wa sister, alikosea kuweka mailing address nilifanya hivyo nikafanikiwa , ila sikuwa nimefika kwenye kuingiza academic details ndio maana nikakwambia hivyo.sorryUkifungua mpya system itakujibu kuwa matokeo uliyoingiza kuna mtu kaisha yatumia. Hebu jaribu ujionee.
Ss mm nimeshalipia tatizoNilikuwa namfanyia application mtoto wa sister, alikosea kuweka mailing address nilifanya hivyo nikafanikiwa , ila sikuwa nimefika kwenye kuingiza academic details ndio maana nikakwambia hivyo.sorry
Kama upo Dar nenda chuo tu kawaeleze,Maana email huwa hawajibuSs mm nimeshalipia tatizo