UDSM mbona baada ya kupokea pesa mnazingua?

UDSM mbona baada ya kupokea pesa mnazingua?

olunde

Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
35
Reaction score
49
Kutokea jana nimetuma pesa kwenye akaunti ya UDSM kwa njia ya MPESA shilingi elfu 20,000 lakini hadi leo ninaonekana sijalipa na ujumbe ni ule ule wakati walitoa taarifa kwamba tovuti yao itajibadili automatic ukishalipa na kukuruhusu uendelee na maombi. Kwa wizi huu kesho nina amkia UDSM bila hiyana.
 
Na mimi nimefika kwenye entry category inanigomea, sijafahamu tatizo anayejua anifahamishe tafadhali.
 
Hawa hawakujipanga, nami namuombea mwanangu kwenye step ya 4 Inagoma.
 
Inaonekana wameelemewa, ila wapambane kutatua tatizo hilo ili mfumo wa udahili uwe wa haraka zaidi.
 
20 yangu wamechukua lakini hakuna confirmation yoyote
 
Mi tangia saa mbili asubuhi leo nimekwama
Jitahidi udownload application manual yao , itakupa muongozo mzuri na utafanikiwa, be calm just follow the procedure, you gonna succeed!

My views!
 
Mwenzenu toka jana nimeshindwa kuapply system inanikatalia, na nimejaza kila kipengele lakini hatua ya mwisho ndio inagoma. Je kuna aliye apply UDSM na anaweza kunisaidia? Maana wao ukiwapigia simu hawapokei!
 
Kutokea jana nimetuma pesa kwenye akaunti ya UDSM kwa njia ya MPESA shilingi elfu 20,000 lakini hadi leo ninaonekana sijalipa na ujumbe ni ule ule wakati walitoa taarifa kwamba tovuti yao itajibadili automatic ukishalipa na kukuruhusu uendelee na maombi. Kwa wizi huu kesho nina amkia UDSM bila hiyana.
IMEKAA VIZURI .INACHUKUA TWENTY FOUR HRS FOR SOMETIMES
 
Back
Top Bottom