and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,101
1. Wazee wa jalalani walipewa Msaada na LIONS CLUB kufungiwa taa za solar kwenye barabara na mitaa main campus (bure) ukipita usiku hizo taa zimekufa karibu zote kumebaki Giza totoro. Mule ndani kwa sasa kumekua hatari sana.
Hivi Uongozi hapo wanaweza nini zaidi ya kununua Magari ya kifahari na viofisi vyao kama vyoo?
2. Chuo Kikuu kweli mnafikirisha aisee. Vyoo navyo mnasubiri Msaada toka Ulaya?
Hivi Uongozi hapo wanaweza nini zaidi ya kununua Magari ya kifahari na viofisi vyao kama vyoo?
2. Chuo Kikuu kweli mnafikirisha aisee. Vyoo navyo mnasubiri Msaada toka Ulaya?