Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
Umenena vyema.Who cares,? unataka nijue nini? kwenye ranks za Africa chuo kinajikita mkiani, website mbovu, elimu substandard, miundombinu hafifu,
By the way, hiki chuo sio chako, usihangaike kutetea, ni chetu Watanzania wote. Tusaidiane kukisaidia kwa kukosoa.
Hii itasaidia kuinua elimu yetu Mimi na wewe.

.. Ushuke uende darasani. Chemba za choo bado hajifanya yake hapo.